hi!Hivi kuna saa nyingine
mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..
hili hunitokea kila mambo yanaponiwihi magumu given that nimeinvest a lot of time.
Pamoja na ukosoaji mwingi you are normal
wewe tafuta namna ya kubreak thru unapojikuta upo kwenye huu mzingo.
Neva and eva stay alone,jifungia chumbani.