Mkuu umeanza kukisakama chama chako.Ninajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.
Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.
Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.
CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.
Au komba kakosa mrithi.
Ccm haiwezi tena kushindana kihalali wala kuvutia wananchi, nguvu yao kubwa iko kwenye kumwaga hela zisizofahamika zinatoka wapi, na kutegemea mbeleko ya vyombo vya dola, ndio maana unaona wanalazimisha zaidi kushinda kwa kuengua wapinzani.Ninajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.
Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.
Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.
CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.
Au komba kakosa mrithi.
Wameshamaliza uchaguzi hao kwa kura za wiziNinajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.
Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.
Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.
CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.
Au komba kakosa mrithi.
My friends, ladies and gentlemen,Ninajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.
Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.
Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.
CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.
Au komba kakosa mrithi.
Ukilinganisha na za chama gani?Ninajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.
Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.
Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.
CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.
Au komba kakosa mrithi.
Kura zitapigwa jumatatu usiku.My friends, ladies and gentlemen,
mvuto wa kishindo kikuu kwa CCM ni Nov 27, 2024 siku ya Alhamisi,
hakuna haja ya kubabaika wala kuwa na mawenge ya mapema ndrugu zango π
achana na ramli chonganishi gentlemanKura zitapigwa jumatatu usiku.
Yaani hawana kitu cha maana wanachofanya, Jana nilikua Manzese, wameweka nyimbo za wahuni na wamejaza Watoto. UJINGA mwingiNinajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.
Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.
Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.
CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.
Au komba kakosa mrithi.
Najua ninachokiaema nimekuwepo kwenye upigaji kura na usimizi muda mrefu kuliko wewe. Ccm haishi inashindishwa. 2020 kura zilipigwa siku 2 kabla pale ofisi za ccm magomeni. Walitafutwa vijana mitaani. Walipikiwa wali maharage na kuahidiwa 5000 hawajpewa hadi leo. Ukitaka kukubali sawa ukikataa pia sawaachana na ramli chonganishi gentleman
Mambo ya kura sawa.My friends, ladies and gentlemen,
mvuto wa kishindo kikuu kwa CCM ni Nov 27, 2024 siku ya Alhamisi,
hakuna haja ya kubabaika wala kuwa na mawenge ya mapema ndrugu zango π
kampeni za CCM zilianza kwenye kuhamasisha nyumba kwa nyumba kujiandikisha na zinaishia kwenye kampeni za nyumba kwa nyumba hadi siku ya kupiga kura,Mambo ya kura sawa.
Ila kampeni Sasa. Watu wazito sana kujitokeza, Hadi wapewe mihera.
Shida iko wapi?
Okay.kampeni za CCM zilianza kwenye kuhamasisha nyumba kwa nyumba kujiandikisha na zinaishia kwenye kampeni za nyumba kwa nyumba hadi siku ya kupiga kura,
ndiyo maana kura za maoni ndani CCM zinahamasa kuliko Uchaguzi wenyewe ambao ni kukamilisha ratiba na katiba tu π
Trh 27 ni jumatano bosssMy friends, ladies and gentlemen,
mvuto wa kishindo kikuu kwa CCM ni Nov 27, 2024 siku ya Alhamisi,
hakuna haja ya kubabaika wala kuwa na mawenge ya mapema ndrugu zango π