Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mara nyingi mtu wa kushindwa hujifunza kwa alieshindwa, na huo ndiyo umaskini wa kizembe sana..Najua ninachokiaema nimekuwepo kwenye upigaji kura na usimizi muda mrefu kuliko wewe. Ccm haishi inashindishwa. 2020 kura zilipigwa siku 2 kabla pale ofisi za ccm magomeni. Walitafutwa vijana mitaani. Walipikiwa wali maharage na kuahidiwa 5000 hawajpewa hadi leo. Ukitaka kukubali sawa ukikataa pia sawa
MFALME YUPO UCHI
uko sawa gentleman,Trh 27 ni jumatano bosss
subra na ustahilivu ni muhimu sana gentleman 🐒Okay.
Ngoja tuone sasa itakavyo kuwa.
ajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.
Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.
Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.
CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.
Au komba kakosa mrithi
Mkuu wa wilaya wa Ubongo mtarajiwa TlaatlaahMy friends, ladies and gentlemen,
mvuto wa kishindo kikuu kwa CCM ni Nov 27, 2024 siku ya J5,
hakuna haja ya kubabaika wala kuwa na mawenge ya mapema ndrugu zango 🐒
Ccm baba lao. Acha kuweweseka. Hatuwezi kuweka madarakanj wachaga sisi. Inajulikana wazi wachaga ni weziNinajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.
Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.
Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.
CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.
Au komba kakosa mrithi.
Nape alishatuambiaMvuto wa kampeni hauamui mshindi wa uchaguzi🐒
Hakika mkuu jana hata mm nilipita mitaa hiyo nikajua kuna sherehe kumbe kampen wahuni wengi.Yaani hawana kitu cha maana wanachofanya, Jana nilikua Manzese, wameweka nyimbo za wahuni na wamejaza Watoto. UJINGA mwingi
Hata chawa wenyewe kwa wenyewe wanatendeana uovu vipi wayatendayo kwa wapiga kula wao.Ninajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.
Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.
Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.
CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.
Au komba kakosa mrithi.
Mgombea wa CCMHakika mkuu jana hata mm nilipita mitaa hiyo nikajua kuna sherehe kumbe kampen wahuni wengi.