Ni Mimi tu ndio naona na kusikia! Kampeni za CCM hazina Mvuto

Ni Mimi tu ndio naona na kusikia! Kampeni za CCM hazina Mvuto

Najua ninachokiaema nimekuwepo kwenye upigaji kura na usimizi muda mrefu kuliko wewe. Ccm haishi inashindishwa. 2020 kura zilipigwa siku 2 kabla pale ofisi za ccm magomeni. Walitafutwa vijana mitaani. Walipikiwa wali maharage na kuahidiwa 5000 hawajpewa hadi leo. Ukitaka kukubali sawa ukikataa pia sawa
MFALME YUPO UCHI
mara nyingi mtu wa kushindwa hujifunza kwa alieshindwa, na huo ndiyo umaskini wa kizembe sana..

na kwa bidii sana mtu huyo mwenye tamaa ya kushindwa, hutafuta kila sababu za kushindwa kwake na kuzikariri vizuri sana, ili ashindwe zaid tena na tena, huku akiwa amekodoa macho na akipiga kelele na mayowe ya kushindwa huku akiwa hana uwezo hata wa kushindana...

Friends ladies and gentlemen,
Awazalo mjinga ndilo litakalo mtokea.

Elections is process. Ni kujipanga tu 🐒
 
ajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.

Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.

Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.

CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.

Au komba kakosa mrithi

My friends, ladies and gentlemen,

mvuto wa kishindo kikuu kwa CCM ni Nov 27, 2024 siku ya J5,

hakuna haja ya kubabaika wala kuwa na mawenge ya mapema ndrugu zango 🐒
Mkuu wa wilaya wa Ubongo mtarajiwa Tlaatlaah
 
Mvuto wa kampeni hauamui mshindi wa uchaguzi🐒
 
Ninajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.

Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.

Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.

CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.

Au komba kakosa mrithi.
Ccm baba lao. Acha kuweweseka. Hatuwezi kuweka madarakanj wachaga sisi. Inajulikana wazi wachaga ni wezi
 
Ninajaribu kudadisi kuona namna CCM inavyoendesha kampeni zake.

Naona hazina Mvuto. Nimejaribu kuangalia kwenye magroup ya wasapu kimya kingi.

Nafatilia mtaani wengi wanasubiri kupewa chochote.. wafia chama wamepungua Sana.

CCM embu changamkeni Ili kampeni zichangamke.

Au komba kakosa mrithi.
Hata chawa wenyewe kwa wenyewe wanatendeana uovu vipi wayatendayo kwa wapiga kula wao.
 
Back
Top Bottom