Ni mimi

Hahaha by the way hizo n stress za kutokua na pesa....nan hali vzur humu? Nan anatembea uchi humu..wenye pesa haongeag .....pengine unamiliki tecko yako na kitanda unajiita unapesa....

N mtazamo tu tusichukiane
 
Mko nipe factors zilizokufanya uipende au uishi China pengine unaweza niko convince nizame humo
 
Kama asubuhi lazima nipate mchemsho wa mbuni na mayai yake na ndizi mshabuko kutoka sudani na juisi ya tende bardiiiiii...huu mlo wa asubuhi tu gharama yake ni kama laki na nusu kwa hiyo unaweza ukaona mwenyewe

[emoji23][emoji23]
 
Hahaha by the way hizo n stress za kutokua na pesa....nan hali vzur humu? Nan anatembea uchi humu..wenye pesa haongeag .....pengine unamiliki tecko yako na kitanda unajiita unapesa....
N mtazamo tu tusichukiane
Wiki ijayo nina safari ya uarabuni sio mbaya nikakuchukua ukashangae shangae kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…