Azam wasipo kuwa makini, basi naona Boss wa Info amejipanga kuwa piku akishirikiana na kampuni moja kutoka Mauritius - Mr.Mfuruki kichwa sana yule atakuja kubadiri soko hili beyond expectations za Wateja.
Tatizo la Azam TV si wabunifu, ni kweli wana vifaa vingi vya kisasa na studio nzuri - beyond that wanaendeleza mambo kama mashirika ya UMMA ya wacha liende - watu wabunifu wangepata facilities kama zile specifically studios wangezifanyia wonders! Siwasemi vibaya lakini tuwe wakweli hapa ubunifu hawana kabisa, nguvu zao zote zinaelekezwa zaidi kwenye masuala ya mipira ya hapa na Ulaya, sio kwamba nataka kuwaribia biashara - Nina uzoefu wa muda mrefu wa masuala haya nimeishi kwa nchi za wenzetu kwa miaka mingi sio kwamba nasema mambo ya kubuni tu, wanapaswa kujirekebisha.