Ni mke wa mtu ila dah!

Mwanangu umedanganya mwanzoni afu mwishoni umejisahau. 2005 ulikuwa na 15yrs leo 2020 una 23yrs angalia apo vizuri ukiwa muongo uwe na kumbukumbu bans.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda atakua ni mcheza mpira, maana hao kwa kudanganya umri hawajambo.
 
Kutokana na paragraph ya 3 wewe kwa sasa unamiaka 30, paragraph ya mwisho unasema unamiaka 23. Sijaelewa hapo!
 
Angalizo tu, watu wa kusini ni wa deadly kwenye mambo ya kupuliza. Asije akawa kawekewa tego ukakojozwa dagaa 🀣🀣🀣
 
 
Jaalia huyu mke ni wako na mm ndio wewe, ungenishauri kitu gani? Nimtobme au ni tii sheria bila shuruti?
 
Wew ni mvulana na yeye ni msichana hivyo siku ukiwa mwanaume hutaandika tena ujinga
 
Any way tembea na kikopo cha mafuta mgando yatakusaidia.

Siku ukibananishwA tena humjui mwenye mke?
Una akili kweli? Ni sawa na askari mzembe asiye jua ngome ya adui.
Anasonga mbele adui yuko nyuma!

Hata mid field hujui.
 
Any way tembea na kikopo cha mafuta mgando yatakusaidia.

Siku ukibananishwA tena humjui mwenye mke?
Una akili kweli? Ni sawa na askari mzembe asiye jua ngome ya adui.
Anasonga mbele adui yuko nyuma!

Hata mid field hujui.
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜πŸ€¨πŸ€¨πŸ€”πŸ€”πŸ˜‘πŸ˜πŸ˜πŸ€¨
 
Kumbe ni dogo wa kizazi cha Flyover ya Tazara, endelea kukua tu, haraka ya nini?....ipo siku utagundua ni nyege tu ndizo zinakusumbua na kusuta nafsi yako kwa sasa. We endelea tu kushangaa hiyo Flyover, bado unakuwa.
 
kijana mke wa mtu sumu, achana nae uyo sina mengi ya kuongea
 
Kwa io bro 2005 mpaka 2020 bado mna miaka 20??hivi unatuonaje bwana mdogo??
 
...Mke wa MTU ni Sumu ....Full Stop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…