Ni mkoa gani Tanzania kinafanyika kilimo Cha umwagiliaji?

Kilimanjaro na Arusha maji yapo ya kutosha kule umwagiliaji ni wa uhakika
 
Iringa kuna scheme kubwa ya umwagiliaji maeneo ya Kalenga kwa chief Mkwawka.

Sema uchawi pia upo sana tu kuna uchawi unaitwa lukupi huu n balaa


Kwa ushauri chochote utacholima usiache kuweka mahindi walau heka moja
 
Iringa kuna scheme kubwa ya umwagiliaji maeneo ya Kalenga kwa chief Mkwawka.

Sema uchawi pia upo sana tu kuna uchawi unaitwa lukupi huu n balaa


Kwa ushauri chochote utacholima usiache kuweka mahindi walau heka moja
NIMELIMA NAO WAHEHE WABENA ILA KIBOKO WA WOTE MWANJI NI NOMA ila hayo mambo ni km ukaamini.
 
Mbeya wilaya ya Mbarali kata ya Lugelele kitongoji cha Igomelo kuna scheme ya wagiliaji maji yanatiririka mwaka mzima sasa hivi waliolima vitunguu wananeemeka. Pia kuna wanaolima hoho, mahindi, matango, nyanya na mazao mengine mengi tu
 
Mlandizi kuna kilimo cha umwagiliaji

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
 
Katika harakati zako mtangulize Mungu.Kama ni muislamu shika IMANI yako vizuri, kama ni mkristo fanya vivyo hivyo,,, n.k.KAZI NA SALA mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…