Mkuu Kaskazini mwa Dom mbona unaongelea Bara huko mkuu Tabora, Shinyanga, Mara, Mwanza kuna kitu huko mkuu kweli! au mi ndi nimekosea Geography?
hapa mchungaji tuko pamoja kabisa,eti wao wanasema uzuri wa gari ni body na sio injini,LOLArafat ogopa magari ya Dar ....huwa na mabody mazuri ila Engine ziko used sana unaweza kuona hummer ila mileage ni kubwa mno sababu ya kushushwa Engine na overhaul za mara kwa mara!
Hahaha haya bana,safisha mazingiraAhaa we washawasha muongo sana! Unachafua habari hapa.
Sawa,nakutakia kila la kheri katika safari ya kupita kwenye matopeSi tunaongelea magari hapa!
Wazee nimemuelewa Arafat. Ni kwamba alipata mtoto wa kitanga mweusi au mwafrika. Nafikiri yeye atakuwa mwarabu, mmanga au mgunya then mtoto aliamua kumpa arafat kiboga/samvu bila kuomba. I stand to be corrected. Nawasilisha mazee
hakuna mahali kama A town A town!