Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Ae Dil Hai Mushkil
Kwa vile jamaa alibakishwa friendzone hadi mwisho wa Movie.
Naifananishaga kama mm ilikuwa chuo nliwekwa friendzone hivyo hivyo nkajaribu kufurukuta lakini wapi nkaambiwa “it’s better if we’re friends sitaki kuharibu our friendship” basi jamaa nkatulia nkajipa hope
Turned out akatokea jamaa akampa gari na business dem akawa engaged mm niko chuon ntacompete na mtu kama huyo wapi na wapi, basi nkatulia nikaalikwa kwenye ndoa sikwenda though huyo wa kwenye movie yeye alienda. hiyo ni favourite movie yangu nimeangalia mara ngapi sikumbuki maana ni unhealthy jinsi nilivyoirudia
Kwa vile jamaa alibakishwa friendzone hadi mwisho wa Movie.
Naifananishaga kama mm ilikuwa chuo nliwekwa friendzone hivyo hivyo nkajaribu kufurukuta lakini wapi nkaambiwa “it’s better if we’re friends sitaki kuharibu our friendship” basi jamaa nkatulia nkajipa hope
Turned out akatokea jamaa akampa gari na business dem akawa engaged mm niko chuon ntacompete na mtu kama huyo wapi na wapi, basi nkatulia nikaalikwa kwenye ndoa sikwenda though huyo wa kwenye movie yeye alienda. hiyo ni favourite movie yangu nimeangalia mara ngapi sikumbuki maana ni unhealthy jinsi nilivyoirudia