Ni Movies gani ziliwahi gusa hisia, mtazamo na labda kubadirisha maisha yako?

Ni Movies gani ziliwahi gusa hisia, mtazamo na labda kubadirisha maisha yako?

Kwenye prison break nimejifunza ku treat watu vizuri na kuwa mwema(michael)
Kuwa na upendo na ndugu yako(Michael na Lincoln)
Kuna watu wako vizuri kiakili tofauti na matendo yao(T bag)
Hzi movies ukiacha kutuburudisha zinatuachia mafunzo pia
 
Stonning of Soraya M
Movie moja ambayo iko based na true story setting nchini Iran, inahusu mwanamke ambae anasingiziwa kuzini nje ya ndoa na alihukumiwa kufa kwa kupigwa mawe
Mchongo mzima uliratibiwa na mumewe akishirikiana na viongoz wa dini waliopitisha hukumu iyo huku wakijua sio kweli.
Movie hii inanifundisha kua Sharia zikitumika vibaya zinaweza kusababisha watu flani kuonewa au kunyimwa haki zao.
 
Stonning of Soraya M
Movie moja ambayo iko based na true story setting nchini Iran, inahusu mwanamke ambae anasingiziwa kuzini nje ya ndoa na alihukumiwa kufa kwa kupigwa mawe
Mchongo mzima uliratibiwa na mumewe akishirikiana na viongoz wa dini waliopitisha hukumu iyo huku wakijua sio kweli.
Movie hii inanifundisha kua Sharia zikitumika vibaya zinaweza kusababisha watu flani kuonewa au kunyimwa haki zao.
Very touching
 
Mimi Movie ya "Slum Dog Millionaire" aisee ile ni movie yangu bora ya muda wote,

Inaelezea kijana yatima alivyopambana na maisha ya kitaa mpak kuja kuwa millionaire baad ya kushinda shindano la kujibu maswali.. Na kilichomfanya mpk akajibu maswali yote bila kukosea,

Ni kwasababu maswali yote aliyokuw anaulizwa majibu yake alishakuw ameya experience kipind yupo Chokoraa mtaani ila ilikuj kunihuzunisha tu mwshon kaka yke na hyo dogo alikufa wkt hyo dogo alikuw anampenda san kaka yke na walihustle wote mtaani tang watoto,

Ila Dem wa huyo dogo nd alibaki mpk mwsho na wakaendelea kuenjoy umilionea wa jamaa(yeye na dem wake pia wote walikuw ni watt wa Mtaani na walianz kupendan tangu watot ila wakapotezan na walikuj kkutan ten ukubwan kabla dogo hajawa milionea),

Ile movie ilijua kupangiliwa na Hadi tuzo za Filamu za kidunia Za OSCAR waliipa ushindi ile movie kam Filamu bora ya Mwaka(sikumbuki ni Mwaka gan ila ni kati ya 2015-17) nahis ni kat ya hapo.
 
Mimi Movie ya "Slum Dog Millionaire" aisee ile ni movie yangu bora ya muda wote,

Inaelezea kijana yatima alivyopambana na maisha ya kitaa mpak kuja kuwa millionaire baad ya kushinda shindano la kujibu maswali.. Na kilichomfanya mpk akajibu maswali yote bila kukosea,

Ni kwasababu maswali yote aliyokuw anaulizwa majibu yake alishakuw ameya experience kipind yupo Chokoraa mtaani ila ilikuj kunihuzunisha tu mwshon kaka yke na hyo dogo alikufa wkt hyo dogo alikuw anampenda san kaka yke na walihustle wote mtaani tang watoto,

Ila Dem wa huyo dogo nd alibaki mpk mwsho na wakaendelea kuenjoy umilionea wa jamaa(yeye na dem wake pia wote walikuw ni watt wa Mtaani na walianz kupendan tangu watot ila wakapotezan na walikuj kkutan ten ukubwan kabla dogo hajawa milionea),

Ile movie ilijua kupangiliwa na Hadi tuzo za Filamu za kidunia Za OSCAR waliipa ushindi ile movie kam Filamu bora ya Mwaka(sikumbuki ni Mwaka gan ila ni kati ya 2015-17) nahis ni kat ya hapo.
Ya iliwika sanaaa daah

What a story.
 
John Q, What happened to Monday, Fault in our stars, Not withought my daughter, Stonning of Soraya, Mrs Doubtfire
 
Back
Top Bottom