Ni mpambano mkali kati ya Jokate na Makonda

Ni mpambano mkali kati ya Jokate na Makonda

Wanabodi,
Watoto wa mjini tunasema Ngoma imepata wachezaji. Ni Kukuru kakara ni vuta ni kuvutee. Hapa Makonda huku Jokate.

Baada ya kufanikisha harambee ya tokomeza Ziro iliyoratibiwa na Mhe, Jokate aka Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, kumeibukaa mpambano mkali wa chini kwa Chini kati ya Mhe Jokate na Rc Makonda....

Mpambano huu umeibuka baada ya Makonda kumkosoa vibaya mzee wa Likwidi-Konki faya papaa Pierre kuwa ni mtu wa hovyoo.

Inaelezwa kwamba pamoja na kufanikisha harambee ile, Mhe Jokate alijikuta akilia kwa kitendo alichofanyiwa Mzee Pierree.
Kuonesha yeye ni Mwamba, Jokate alimkingia kifua katika akaunt yake ya instagram kumpongeza na kumtia nguvu mzee wa koki fayaa....


Inaelezwa kwamba, kutikana na kitendo cha Makonda kufanya vile, Mpaka sasa Jokate hajaweka picha ya Makonda kumshukuru kwa kushiriki hafla ile.

Watu wote mashuhuri, viongozi waliohudhuria, wameshukuriwa kwenye page yake akiwemo Mhe Jafo, Mhe Ndalichako, watu maarufu amewapost kwenye page yake ya Instagram, lkn Makonda hajawekwa mpaka sasa.

Za chinichini ni kwamba, Jokate anajuta kwann Makonda alimkaribisha eneo lile. Na sasa ameapa kufa kupona, patashika nguo kuchanika, ngumi jiwe hatapokea msaaada aliotoa Makonda kwenye ahadi yake.

Jokate utabaki kuwa juu, utabaki kileleniii



Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Jokate ana cv gani ya kielimu, maana huyu mwenzie tunajua na std VII pure...afu anajiona mjanja kuliko wote afu kawekwa Dar yaani anajiona Trump

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Watoto wa mjini tunasema Ngoma imepata wachezaji. Ni Kukuru kakara ni vuta ni kuvutee. Hapa Makonda huku Jokate.

Baada ya kufanikisha harambee ya tokomeza Ziro iliyoratibiwa na Mhe, Jokate aka Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, kumeibukaa mpambano mkali wa chini kwa Chini kati ya Mhe Jokate na Rc Makonda....

Mpambano huu umeibuka baada ya Makonda kumkosoa vibaya mzee wa Likwidi-Konki faya papaa Pierre kuwa ni mtu wa hovyoo.

Inaelezwa kwamba pamoja na kufanikisha harambee ile, Mhe Jokate alijikuta akilia kwa kitendo alichofanyiwa Mzee Pierree.
Kuonesha yeye ni Mwamba, Jokate alimkingia kifua katika akaunt yake ya instagram kumpongeza na kumtia nguvu mzee wa koki fayaa....


Inaelezwa kwamba, kutikana na kitendo cha Makonda kufanya vile, Mpaka sasa Jokate hajaweka picha ya Makonda kumshukuru kwa kushiriki hafla ile.

Watu wote mashuhuri, viongozi waliohudhuria, wameshukuriwa kwenye page yake akiwemo Mhe Jafo, Mhe Ndalichako, watu maarufu amewapost kwenye page yake ya Instagram, lkn Makonda hajawekwa mpaka sasa.

Za chinichini ni kwamba, Jokate anajuta kwann Makonda alimkaribisha eneo lile. Na sasa ameapa kufa kupona, patashika nguo kuchanika, ngumi jiwe hatapokea msaaada aliotoa Makonda kwenye ahadi yake.

Jokate utabaki kuwa juu, utabaki kileleniii



Sent using Jamii Forums mobile app
team line ups:
Team Jokate: Mwakyembe, Kigwangalla, mashabiki wote wa konki liquid,
Team Makonda: ?????
 
Mtoa post hauna jipya hiyo ni personal interests zako.
 
Watu wangine sijui habari wanapata vipi?
 
Hivi Jokate ana cv gani ya kielimu, maana huyu mwenzie tunajua na std VII pure...afu anajiona mjanja kuliko wote afu kawekwa Dar yaani anajiona Trump

Sent using Jamii Forums mobile app

Jokate ana degree ya political science and public administration, kielimu jokate yupo juu sana, makonda hana analofanya ndio maana unaona kila siku anakimbizana na steve nyerere na lemutuz, hamna kazi anayoifanya
 
Fisiem ni fisiem tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Msimpaishe sana uyu demu mwisho akakoswa na DC wenyewe.


Bashite na Baba yake wamekula viapo

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
 
Msimpaishe sana uyu demu mwisho akakoswa na DC wenyewe.


Bashite na Baba yake wamekula viapo

"Dume la Nyani haliogopi Umande"
Wanaongea kwa chuki tu kujifurahisha,lakini Joketi kwa Makonda ni mtoto mdogo sana,Labda ingekuwa mama Kairuki kidogo.Makonda anakubalika sana na mtawala,nadhani ni number 1 mana kama ilishindikana kwa Ruge aliyekuwa karibu na watawala wote sembuse Hutu bint Xgirlfriend wa Kiba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom