Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

..nimekutana na demu moja la ajabu Arusha...yani hili demu neneee kupita maelezo...lilikuwa kwenye Bodaboda nikaliona nikiwa kwenye gari yangu keepleft ya kaloleni nikalipigia honi likasismama likaja garini...nikalifungulia...sikulitongoza nikalambia nataka nilikaze...wala halikusita likauliza shingapi naligea...nikalambia buku tano...likazira likidai elfu 10...nikalambia poa...tukenda room gesti....looh...ile tunafika tu likavua...?duuu...yani likachafua room kwa miarufu yam mchanganyiko wa mavi na k lake kubwa...

..kulicheck jiuchi lake...loooh..balaa....jikuma hatari tena linukalo balaa....nikajua limetoka kukazwa...ama lajiuza....lakini likasema lenyewe jike la mtu ila halikai na bwanake..ila limezaa watoto wawili....wapili ana miezi 3 mara oh limeumwa sana lilipojifungua na bla bla tele..
...nikaona isiwe tabu labda nijaribu kulikaza...lakini wapi..jiti halikutaka hata kusimamia...Maana demu lilitia kichefuchefu room balaa....nikaona mh...,ngoja nilipe bei yake niliteme...maana laweza kuwa na gono ama hata kaswende..maana jikuma lilivyotema room sijapta ona maishani...alafu demu lenyewe m.kundu mkuuubwa!!!..na mijitako kama vile limejaza mito...nikajua ni moja ya ile milupo inayotumia mchina...ama linatumia ARVs...maana duuh..yani demu utafikiri choo...nimeamua mi na milupo minene basiiiii....
 
[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] hatari sana hii mkuu
 
Nikiwa bado msichana nilidate kidogo na kaka mmoja hivi, kwakweli hadi leo sielewi alikuwa na tatizo gani na mimi,
Kwanza hata hakunitongoza ilitokea tu kufahamiana kupeana mawasiliano then tukajikuta tunawasiliana kwa simu kama mwezi hivi coz alienda mkoa mwingine kufungua office then akarudi, Aliporudi tukaonana tu siku hiyo hiyo. Tulivyoonana tu tukahug salamu tu mambo-poa, za siku - nzuri, nikachukua wine nikawa nakunywa apo mara touches zikaanza coz tulikutana kwake, mambo yakajipa tukagegedana basi jioni ikawa tayari akanirudisha kwetu, njiani kwenye gari hakuniongelesha kabisa nikajua kawaida tu, basi akanidrop home kimya kimya yaani ni ile bye bye. Basi Ndugu zangu nilijishtukia si kidogo nikajiuliza what have I done wrong , niliwaza sana baadae kama saa 5 usiku hivi akanitext akanichatisha how sex was good, ameenjoy na vitu kama hivyo. Angalau nikajipa moyo kuwa nothing was wrong.

Basi bwana mtindo ukawa hivyo kukutana, kuromance, kugegedana, kurudishwa home. Yaani hata mkienda out hamna stori ni kula kunywa na kurudi, yaani tunakuwa kama tumenuniana but ukimuangalia unagundua kabisa he is happy.
mhhh nikaja kumfahamu rafiki ake mmoja hivi nikamuuliza kuhusu tabia ya mshkaji wake akasema mbona ni mtu muongeaji tu wakiwa nae. Nikahisi labda hajanizoea, mtindo ukawa vilevile kuongea ni salamu tu au ukimuuliza swali atajibu kwa kifupi sana.
Siku moja akanitext saa saba uje somewhere ntakuwa na washkaji tupate lunch nikamwambia ntachelewa kama dakika 30 hivi, ila sikuchelewa hata dakika 2, kufika nikawaona wamekaa kona hivi wameipa mgongo sehemu yakuingilia, so naingia hawanioni isipokuwa mmoja ndo macho yalikuwa sehemu yakuingilia, jamani jamani nilimsikia mwanaume wangu anaongea yaani anaongea MC hamfikii, nikajiuliza huyu ndiye kweli, alivyoshtuka mi nipo nyuma yao alipoa kama maji na hakuongea hadi tunaondoka.

Siku nyingine nikamuomba anywe bia kama 7 hivi maana alikuwa sio mnywaji sanaaa, akanywa hoping labda akilewa ataongea wapiiii, hakuongea neno hata moja, jamani huyu sijui alikuwaje, mkimaliza kugegedana mkishaachana anaanza kukuchatisha, sijui how was it, kwangu it was so damn good sijui ninini, atakuchatisha kila mara anapopata muda ila hawezi kupiga simu hata siku moja, hata ukiwa nae physically haongeiiii, utamwambia kitu atajibu utamchekesha atacheka kidogo tu basi, ukimuuliza kama ana tatizo anajibu hana.
Maisha yakawa hivyo hivyo almost kwa miezi kadhaa nikawa naona ananiboaaa maana mi ni mtu wa utani sana afu muongeaji plus napenda kuchekaaa, nikawa bored nikampotezea nikamblock kabisa, tukapotezana kama miaka 5 hivi Nikaja kusikia amehama kikazi.

Majuzi nimekutana nae airport dar, nipo lounge ye alikuwa wa kwanza kuniona kaja kunisalimia baada ya salamu akakaa pembeni kimya kama hanijui. flight yao ikawa ya kwanza kuondoka kanipa business card eti unitafute tafadhali mfyuuu sijamtafuta hadi leo.
 
Jamani wewe, li........ Li......... Li........ Sio vizuri hivyo.
 
Duuh, huo mtihani kwelikweli maana kijana haeleweki, ukimtathimini kwa kina huwezi reach conclusion. Pole sana mamii
 
Hahaaaaa ndio zetu
 
kuna bwana amesha amini mimi navuta bangi kwa kujificha, maana huwa nacheka sana nikiwa nasoma bandiko hili na moja la sehemu hatarishi mtu alizo wahi do.

ila kuna panzi wa 2 huwa wanakatisha furaha yangu kwa utoto wao wa hali ya juu basi tu huwa hawajui
 
Mi wananikela sana thread tamu kama hii unakutana na mikomenti yao chungu nzima inakera mno Mara baby Mara sijui nn watu wenyewe maroboti tu hata hawajuani
Aisee kama ulikuwa akilini mwangu! Yani mtu unatafuta coment ujisomee uchekee mara unakutana na vicoment uchwara vimejazana, si waandikiane inbox? Wanakera sana siyo siri!
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Fumbafu thana we jamaaa,,, umenichkesh maneno uloyatumia bwege ww…!!
 
Nikisoma jina lako+yaliyokukuta+nikimkumbuka"joker" wa batman za christian bale sina mbavu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahahaa noma sana mkuu
 
Sure man, hawa watu huwa wanateka threads za watu na kuzifanya zao za kujiongeleshea mapenzi ya nyuma ya keyboard.

Washkaji huku kwetu wanawamind mbayaaa na kuna kitu wanataka fanya. Mi nasubiri nione watafanya nini.
Hahahaa,, wanatak kufny nn masela?,, ila jamaa laivu wanaboa kinoma, yan unakut mtu umeanzish thread yako wao wanakuj kufany ufuska kweny uzi wako sa cjui jamaa nd kashaon hiyo nd "First line of defence yake?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…