Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Hahahahhaha we nae ilikuwaje ukalala na jinsi... si ulitakiwa uitundika jamani
 
Reactions: MC7
Na wewe ulikuwa Nnani mkuu?
Mi nilikutana na mpenzi kila siku ananiambia ana mtu wake ila kanikubalia tu, siku nilipoamua kumuacha aendelee na mtu wake akazimia,alipozinduka akaniambia nikimwacha atameza vidonge na kujiua, kumbe hana cha mtu wake wala nini!!!
 

Gademu!
 
Ted wa Kimbulu mtoto yuko sasawa haswa. Rangi safi ya mtume, Hips na Kalio la kutosha.

Anaweza Blowjobs balaa, nilifurahia kwa kweli.

Shida ni moja tu haridhiki mpaka umpige "Doggie", Na ukimweka "Doggie" ana cum chap sana na hapo ndipo shida ilipo. Lazima wakati ana cum aachie na ushuzi.

Na ushuzi wake unanuka jamani kama amemeza soko la feri.

Daily Dose
 
Dah maisha haya Mimi nilipataga Dada Mmoja tumetoka kijiji kimoja tulidumu almost 10 years yeye kila mkimaliza kufanya mapenzi anakuomba hela. Ukimnyima ananuna hamuongei tena. Huwa najiulizaga mpaka leo japo keshaolewa na kuachika HV alikua ananiuzia au ni pepo. Wapare wa Chome hoyeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…