Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

ehe mkuu chanzo cha pes ilikuwa ni nini?
Kuna lijamaa lilikuwa linahongaa la mkoa yani full kuambiwa mjomba wangu yuleee daaah afu ukiwa naye hakuna simu za ajabu kuingia ila yeye anamatukio ya kimya kimya na nguo zake za vitengee yan ukimwona unasema sii mke hapa[emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
thus why siwaamin wanawake hata nusu ya robo
 
Kwanza wewe ni unamadharau
Pili mimi ni wawili wakwanza mwanaume anayelia.
Ukimuuzi analia mkikosana analia.
Akikufumania analia nikamkimbia.
Naogopa kuliliwa kama nimekufa.
Wapili anavuta bangi hapo 2009.
Ndio nipo chuo mkikosana anakutishia anakunyonga anakutishia na kisu chombo cha moto nakukuonya ukimwacha tu atakuuwa.
Akijua uko na mwingine anakuiba halafu anakuanza kukutesa .
Alikuwa ananitesa kiakili ila kwa sasa na shukuru kaniacha.
 
Ilikuwaje mkuu!!?
 
Mi nilikutana na mpenzi kila siku ananiambia ana mtu wake ila kanikubalia tu, siku nilipoamua kumuacha aendelee na mtu wake akazimia,alipozinduka akaniambia nikimwacha atameza vidonge na kujiua, kumbe hana cha mtu wake wala nini!!!
Duh!!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi nilikutana na demu mmoja alikuwa hapendi kugegedana kwa bed, so most of the time tulikuwa tuna gegedana maeneo mbali mbali ya nyumba. sitasahau siku tuliyonusurika kufa kwa maji ya moto jikoni.
Ahahahaha
 
Asiyekuwa na haraka ya kutoa mzigo wake , ila ana haraka ya kutumia pesa zangu , kila nikitaka naambiwa hooo subiri subiri kidogo tuzoeane usiwe na haraka ila kwenye mizinga haoni haraka, baada ya kuona mizinga imezidi nikamgeuzia majibu yake
mwanangu umetisha kinyama ha ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…