Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

ehe mkuu chanzo cha pes ilikuwa ni nini?
Kuna lijamaa lilikuwa linahongaa la mkoa yani full kuambiwa mjomba wangu yuleee daaah afu ukiwa naye hakuna simu za ajabu kuingia ila yeye anamatukio ya kimya kimya na nguo zake za vitengee yan ukimwona unasema sii mke hapa[emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Kuna lijamaa lilikuwa linahongaa la mkoa yani full kuambiwa mjomba wangu yuleee daaah afu ukiwa naye hakuna simu za ajabu kuingia ila yeye anamatukio ya kimya kimya na nguo zake za vitengee yan ukimwona unasema sii mke hapa[emoji25] [emoji25] [emoji25]
thus why siwaamin wanawake hata nusu ya robo
 
Habarini Wadau,

Katika mahusiano ya wapenzi inawezekana kabisa kumpata mpenzi mwenye vituko au maajabu (sio jini ila mtu)

Kuna wanaokutana na Vikojozi, wenye mapepo, walaku, maneno mengi n.k

Mimi niliwahi kukatongoza kambilikimo kamoja kanenee sema kalikuwa kadogo kiumri...nikakaomba Papuchi kakaniahidi kunipa usiku wa kuupokea mwaka mpya 2012.

Aisee ule usiku akanipa...kumbe kalikuwa bikra kabisa bana, aisee ile kumbeba na kuzamisha just half of it na kupump kidogo kalilia haswa na kuning'ata vibaya hadi leo nna alama ya meno yake.

Pia alilowa sana damu usiku ule, ajabu ni kwamba kalikuja kuumwa mpk tarehe 3 ya mwaka mpya na eti kanichukia hadi leo.

Nikitaka kukaomba msamaha kalikuwa hakataki kuniona.

Kuna aliyewahi kutana na kasumba kama hii?
Kwanza wewe ni unamadharau
Pili mimi ni wawili wakwanza mwanaume anayelia.
Ukimuuzi analia mkikosana analia.
Akikufumania analia nikamkimbia.
Naogopa kuliliwa kama nimekufa.
Wapili anavuta bangi hapo 2009.
Ndio nipo chuo mkikosana anakutishia anakunyonga anakutishia na kisu chombo cha moto nakukuonya ukimwacha tu atakuuwa.
Akijua uko na mwingine anakuiba halafu anakuanza kukutesa .
Alikuwa ananitesa kiakili ila kwa sasa na shukuru kaniacha.
 
Yan kuna mpare mmoja sitakaa nimsahau nilikutana naye tangaa anapenda diniii yan biblia kila mahali kama kweli vilee ila alikuwa anakuja kila napokuwa kwa gharama zake hadi za hotel analipa dar...tanga...arushaa kuja kujua chanzo cha pesaa zake [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ilikuwaje mkuu!!?
 
Mi nilikutana na mpenzi kila siku ananiambia ana mtu wake ila kanikubalia tu, siku nilipoamua kumuacha aendelee na mtu wake akazimia,alipozinduka akaniambia nikimwacha atameza vidonge na kujiua, kumbe hana cha mtu wake wala nini!!!
Duh!!!!
 
asee nilikutana na kademu hako sitasahau kalikua kajirani kangu ila kaswahili balaa kakija geto kuliamsha dude kananambia mpaka tuwaseme watu wa mtaa ndo nyegez zake zinapanda


mwanzo niliona uzushi basi nikawa nafanya kama utani naanza msema muuza duka wa mtaani kwamba inasemakana anatumia ulozi japo sina hata uhakika ukikaambia ivyo katauliza kweli huku kanavua nguo basi katakupa ubuyu kibao mpaka unajikuta bao tatu tayari...


kuja kutahamaki kila kakitaka mgegedo lazima katake umbea kwanza siku nikaona nikapge kibabe bila kusnitch watu hakakunipa ushirikiano hata ziwa ukinyonya gumu kama sanamu....


doooh nikaona ili tatizo nikakapga chini na mtaa nikahama sijui kaliishia wapi kale kamanz then nikapini balaa ila mashart YAKE sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi nilikutana na demu mmoja alikuwa hapendi kugegedana kwa bed, so most of the time tulikuwa tuna gegedana maeneo mbali mbali ya nyumba. sitasahau siku tuliyonusurika kufa kwa maji ya moto jikoni.
Ahahahaha
 
Asiyekuwa na haraka ya kutoa mzigo wake , ila ana haraka ya kutumia pesa zangu , kila nikitaka naambiwa hooo subiri subiri kidogo tuzoeane usiwe na haraka ila kwenye mizinga haoni haraka, baada ya kuona mizinga imezidi nikamgeuzia majibu yake
mwanangu umetisha kinyama ha ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom