Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

bila shaka umesoma IT
 

Acha uongo mkuu hii ni chai, huwezi muacha mtu kwa sababu ya ajabu kama hiyo.
 
Pind nipo chuo nimepanga chumba changu nilikuwa naishi eneo moja na mwenye nyumba tupo mwaka wa 2 wakaja mwaka 1 nikapata jiko langu toto la kimburu siku ya kwanz kupiga mambo ile nalamba sikio tu alipiga yowe mwenye nyumba akanigongea mlango nikajua itakuw kapitiwa kumbe ndo alivyo alikuwa anapiga kelele inayo shindana na sabufa alisababisha nitimuliwe pale geto
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] comments za huu Uzi mie hoi
 
mie nilikutana na mpenzi mmoja ambae alikua akiniona tu anaanza kucheka tuu non-stop. mwanzo nilidhani "i was too funny", ila baadae nikaanza kuogopa isije kuwa na date na kichaa.
Hii comment nimecheka kifalaaa[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…