Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Unamshukuru Mungu?
 
Tueleze hata kidogo huo ugomvi ulihusu nini
 
Ujiji ni uswahilini saana na ni eneo ambalo haliendeleagi miaka yote lkn wajanja wote wa kigoma wametokea huko
Ujiji mademu wanaloga saana kupata wame

Ujiji ukiwa na chumba Kitanda Tv jiko ukivusha demu hatoki usipokuwa mafia utamuoa kimchezomchezo
 
Kuna li bouncer nililipata Havana enzi za mwalimu aisee kila likicheka nina ngumi ya furaha
 
Kuna ex wangu mmoja alikuwa na machine ya kipekee kwa kweli

Na ilibidi nimwache tu maana ningekufa kwa ukubwa na urefu Wa machine yake
Kuna Ex wangu wote wa nyanda za juu kusini aliniambia Baba Morgan nakupenda ila kwa hiyo mashine hatuna budi tuachane kama ni wewe njoo tuyajenge PM njia itakuwa imetanuka kidogo tuendelezee tulipoishia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…