Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

M nlimpata mhehe, kila nkimgegeda anaapa haji kuja tena kwangu tena na machoz yanamtoka, anazma na cm apatkan wiki nzma, anakuja patkana cku ambayo ndo anakuja tena geto namgegeda anasepa apatkan tena. Nkaja gundua n mke wa mtu na ile n line special kwa ajil yang uwa anaiweka hewan cku aktaka nimgegede, Siku iliyofuata alpokuja geto nkamwambia kuanzia leo n mwanzo na mwsho kutia mguu hapa geto, akazmia nkampepelea akaznduka nkamgegeda akaenda zake, nmemgegeda sana, nashukur Mungu mmewe alpata uhamisho akaenda mwanza From Mbeya
Unamshukuru Mungu?
 
Nilikua na demu wangu,Siku hiyo nilienda kumgegeda kwao,muda wa usiku wazazi wake wakalianzisha ugomvi.mama yake akakimbilia chumba nilichopo,bahati nzuri nilijificha nyuma ya mlango masaa 3 na viatu mkononi kwani kikao cha usuruhishi kilifanyika mule ndani..siwezi kurudia kulala hata kwa mwanamke aniambie kwake thubutu
Tueleze hata kidogo huo ugomvi ulihusu nini
 
Mimi nilikutana na mademu wengi tu wa hajabu hajabu ila huyu Muha wa Ujiji (Kigoma) ndiye alikuwa kiboko ya wote. Alikuwa hapendi kuja kulala kwangu ila yeye alitaka mimi ndiye niende kulala kwake mara kwa mara na kila nikienda kulala kwake, baada ya gegedo nasinzia na kushitushwa na yeye kushika nyeti zangu kutaka kuninyoa nywele (mavuzi). Yaani nilikuwa nashindwa kulala kwa visa vyake, na alikuwa ananilazimisha kabisa nilale. Nikamshitukia mchezo wake hivyo katika kumthibiti nikaanza kunyoa mavuzi na kuwa kipara kabisa na mpaka sasa ni mika a12 nimezoea kuwa hivi na sipendi tena kujiona na mavuzi. Waha wehu kweli.
Ujiji ni uswahilini saana na ni eneo ambalo haliendeleagi miaka yote lkn wajanja wote wa kigoma wametokea huko
Ujiji mademu wanaloga saana kupata wame

Ujiji ukiwa na chumba Kitanda Tv jiko ukivusha demu hatoki usipokuwa mafia utamuoa kimchezomchezo
 
Kuna li bouncer nililipata Havana enzi za mwalimu aisee kila likicheka nina ngumi ya furaha
 
Kuna ex wangu mmoja alikuwa na machine ya kipekee kwa kweli

Na ilibidi nimwache tu maana ningekufa kwa ukubwa na urefu Wa machine yake
Kuna Ex wangu wote wa nyanda za juu kusini aliniambia Baba Morgan nakupenda ila kwa hiyo mashine hatuna budi tuachane kama ni wewe njoo tuyajenge PM njia itakuwa imetanuka kidogo tuendelezee tulipoishia
 
Back
Top Bottom