Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Mimi hako kambilikimo nilijua tu katanisumbua kwahiyo nilikabeba nikakabana vizuri kabla ya kukabikiri...aisee kalining'ata haswa.
 
Ahhaahhahaah mbona mahondawa akikuona anapaniki kuna nini kati yenu [emoji2]
Tusimulie basi kisa kingine
Hahaha yani katoka kunitukana sasa hiviiii?
Nikisimulia kisa cha mimi na yeye.
Jf nzima italipuka hadi Mange kimambi atakuja huku kuiba stori.
Ndio maana akiniona tu anahaha.
Kumbe mimi walaaaa. Matukio na wasichana wa kitanzania ni siri yangu tu mimi na yeye.
 

Attachments

  • image.jpg
    20.8 KB · Views: 110
Basi mtunzie siri jamani ,,ndio uanaume halaf na unavyojua kusimulia lo,,na uache kumchokoza au unamuonea wivu bado,,muache afurahie mapenzi yake
 
Hahahaa...mkuu ungemuuliza kwanza anapenda ushuzi upi, yusuphhhuuuuu..., vibration au big sound sub woofer style?
 
Hii imefunga msimu i see
 
Sasa kwanini kaning'ate hivyo?
 
Nilikutana na demu kwenye bus la kwenda mkoani sasa kupiga piga Stori akanizoea ghafla sasa nikapigiwa simu na demu mwingine nikaongea nae kama dakika 15 hivi basi nilipokata simu yule demu akaanza kunimind sana ila demu alikua na ny*e hatari nilipapasa sana makalio + matiti yake nikafikia mgodini demu hoi nikitoa mikono ni ugomvi kabisa bahati mbaya sikumalizia kazi yote ilinibidi nishukie njiani... Kichekesho ni kwamba baada ya mwaka mmoja nikapata safari nyingine nikapanda basi lile lile nikaona CCTV cameras moja kwa moja nikahisi kutakua na clip zangu
 

Ofcourse afu sio sisi tu wewe ni kero ya wengi sana huwa naona malalamiko ya watu humu complaining about you and Behaviourist
the pikipiki posta Nawengine wanaofanana nanyie

But nasemea upande wetu Mr and Mrs Smart911 the great

Unatudai???
Why don't you mind yours!!!!

Cc Smart911
 

Ofcourse afu sio sisi tu wewe ni kero ya wengi sana huwa naona malalamiko ya watu humu complaining about you and Behaviourist
the pikipiki posta Nawengine wanaofanana nanyie

But nasemea upande wetu Mr and Mrs Smart911 the great

Unatudai???
Why don't you mind yours!!!!

Cc Smart911
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] huko kung'atwa atareee
 
funguka tu mkuu kama ulimtolea mashuzi
 
Alikua me au ke?
 
Dah umenikumbusha chato hiyo nilitokea kumpata demu mmoja mzuri aswaa tukafall inlove nikashangaa mtu ndo nimemtongoza Leo kachanganikiwa hadi kamwita mamake kanitambulisha nilikereka sana japo sikusema mi sikuwa na future naye .Nilipokuja kugundua hajui kusoma wala kuandika nikaachana naye ila alikuwa ananipenda sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…