Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
Hahahaha wewe ni chizi haujaachagga kuota tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha wewe ni chizi haujaachagga kuota tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hahaaa....kunya ilikuwa ishara kuwa amefikaMimi niliempata wa ajabu alisema.....
Bebi nakuja, kumbe akanya...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama mimi 500 Daby atakuwa nan5,000Hahaaaaa jiran si nilikwambia mtakatifu sijui kashapitia mademu 500 ata sielew kila siku ana wa kumtolea mfano
[emoji38] [emoji38] [emoji38]asee nilikutana na kademu hako sitasahau kalikua kajirani kangu ila kaswahili balaa kakija geto kuliamsha dude kananambia mpaka tuwaseme watu wa mtaa ndo nyegez zake zinapanda
mwanzo niliona uzushi basi nikawa nafanya kama utani naanza msema muuza duka wa mtaani kwamba inasemakana anatumia ulozi japo sina hata uhakika ukikaambia ivyo katauliza kweli huku kanavua nguo basi katakupa ubuyu kibao mpaka unajikuta bao tatu tayari...
kuja kutahamaki kila kakitaka mgegedo lazima katake umbea kwanza siku nikaona nikapge kibabe bila kusnitch watu hakakunipa ushirikiano hata ziwa ukinyonya gumu kama sanamu....
doooh nikaona ili tatizo nikakapga chini na mtaa nikahama sijui kaliishia wapi kale kamanz then nikapini balaa ila mashart YAKE sasa
Ndio mkuu....[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hahaaa....kunya ilikuwa ishara kuwa amefika
hahahahamie nilikutana na mpenzi mmoja ambae alikua akiniona tu anaanza kucheka tuu non-stop. mwanzo nilidhani "i was too funny", ila baadae nikaanza kuogopa isije kuwa na date na kichaa.
Thenge thaaanaa ww[emoji23] [emoji23] [emoji23] nmecheka kwa nguvu hlf nko kwa public vehiclemi nilikutana na mpenzi ambaye ana maisha ya kibongo muvi... yaan ana simu mbovu.. mpunga hana ila stori zake sasa utachoka.." unajua baby.. jana baba kaniambia nisome eti marekani ni nimekataa... nimemwambia sitaki.. juzi mjomba kataka kuninunulia gari nimekataa... wananilazimisha nikae kwa bamdogo masaki mi siwezi kila siku nyama tu... wanasema kama hutak hatukununulii iphone 7 ..."
nilikuwa na balaa mwenzenu..!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nilikutana na mpenzi kila siku ananiambia ana mtu wake ila kanikubalia tu, siku nilipoamua kumuacha aendelee na mtu wake akazimia,alipozinduka akaniambia nikimwacha atameza vidonge na kujiua, kumbe hana cha mtu wake wala nini!!!
tehKuna mtoto mmoja alikuwa friend with benefits..alishanigeuza baba yake... halafu bado akawa na mchizi mwingine... I nilimkomesha Nilimkopa pesa kama nimepata dharura...baada ya hapo nikamwambia tuachane..ananiambia hela yangu nikamwambia kwan nilivyokua nakupa hela mimi baba yako???
Ananichukia saana paka leo
hahaha mambo ya kucomeMimi niliempata wa ajabu alisema.....
Bebi nakuja, kumbe akanya...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamaan hahhahM nlimpata mhehe, kila nkimgegeda anaapa haji kuja tena kwangu tena na machoz yanamtoka, anazma na cm apatkan wiki nzma, anakuja patkana cku ambayo ndo anakuja tena geto namgegeda anasepa apatkan tena. Nkaja gundua n mke wa mtu na ile n line special kwa ajil yang uwa anaiweka hewan cku aktaka nimgegede, Siku iliyofuata alpokuja geto nkamwambia kuanzia leo n mwanzo na mwsho kutia mguu hapa geto, akazmia nkampepelea akaznduka nkamgegeda akaenda zake, nmemgegeda sana, nashukur Mungu mmewe alpata uhamisho akaenda mwanza From Mbeya
Bamdogo we vipi siamini kama hauna kitukomtakatifu soon tutakupeleka mirembe arifuuu
Ana mkenya pia bamdogo kanishindaSasa wewe jamaa unamuita inna wa nini?
Na mimi nitakuwa namuita mkenya na kasie.
Lazima niwagombanishe. Umeanza mwenyewe lakini
[emoji23][emoji23][emoji23]mi nilikutana na mpenzi ambaye ana maisha ya kibongo muvi... yaan ana simu mbovu.. mpunga hana ila stori zake sasa utachoka.." unajua baby.. jana baba kaniambia nisome eti marekani ni nimekataa... nimemwambia sitaki.. juzi mjomba kataka kuninunulia gari nimekataa... wananilazimisha nikae kwa bamdogo masaki mi siwezi kila siku nyama tu... wanasema kama hutak hatukununulii iphone 7 ..."
nilikuwa na balaa mwenzenu..!!!!
stunter we hukosi vituko eb tupe banaAnza wewe kwanza, ujue ladies first