Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Nilikutana na demu mmoja wa kihabeshi,mara ya kwanza kwenye sita kwa sita nikasikia ananiambia "My love Jamba Kidogo nisikie harufu ya ushuzo wako",Nikapigwa na butwaa ila nikazuga."Nikamjibu switie nikibanwa ntajamba" Nikapotezea.Mara ya pili tena hivyox2 safari hii na kulalamika juu.Alilalamika mpaka akalia anasema yeye anapata starehe sana akiwa na mwanaume basi amjambie.Nikajaribu kuongea nae na kumbebeleza weee nikamuahidi ntamjambia next time,Ya tatu akanikomalia sili mzigo mpaka nijambe,Hasira ikanishika,Nikaona huyu demu kazoea mapunga, nikamwambia katafute wa**nge wenzio me siwezi kabisa huo upuuzo.Na penzi Likafa.
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu ungemjambia na kumnyea kabisa
 
Mamdogo leo ninafuraha ngoja nikatishe majukwaa mengine huu uzi haunitoshi
mmh bamdogo furaha gani au mamdogo mkubwa mkubwa kakubali kukuwowa eb ninongoneze bas
 
Back
Top Bottom