Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

Kuna kadem Kalipita Kibalazan Mi Nikakaita Kalikuwa vzr sana kana lafudhi ya kipemba Mtandio Full

Cha ajabu Nikakatongoza kakakubali Siku iyo iyo nikaambia kaje geto Eehh si kakaja Wakat Najiandaa kuvua nguo Si mwenzangu Naona ananikodolea macho namuuliza Vp Wala hanijib

Kwanin Asianze kunguruma kama Chura yupo ktk shimo tif tif lilotokea Hapo acha tuuu
Hahaha nimecheka paka bas duh
 
Dah mm kuna huyu simuelewi mpaka leo... Anadai ananipenda ila anamegwa nje kama kawa.Yakimshinda huko anarudi kwangu ananipa mzigo napiga. Maisha yanaendelea.Atasepa Halafu anarudi.Its some sort of open relationship mapenz gani haya demu akirudi anaanza kukwambia walomlala.Kwakuwa nshamzoea huwa nachapa tu.Simwelewi mpaka leo.Ana mapepo ya dick au nn?
 
Baba nitatimba mitaaa hio.
Ila huyu jamaa smart lazima apate kash kash la maana.
Manake huyu jombaa namnyaka sana toka ud .
Hawez kukamata mtoto mkali raisi rahisi tukamwachia kihivi.
Myoto ana tatoo moja matata sanaaaaa ipo sehem flam ambayo sio mubashara. Jombaaaa unadhani nitamwachia tu a walk away like this?
Ha ha ha .
Afu mtoto mwenyewe ananielew ujue sema tu anaruka ruka ili kumpoteza maboya jamaa

Jirani

tatoo ya '666' kiruuuu ntombakasia ode ode umefanya laputopu ikazima kwa mstuko.

khaaa kumbe kuna watu vipofu ila huyu smart naona ana chongo macho yote mawili aisehhhh

haki ya mama umenipa mstuko kama ningekuwa bomu ningeshaangamiza dunia.

mmmmhhhhhh ata siamini ngoja aje hapa atoke povu
 
asee nilikutana na kademu hako sitasahau kalikua kajirani kangu ila kaswahili balaa kakija geto kuliamsha dude kananambia mpaka tuwaseme watu wa mtaa ndo nyegez zake zinapanda


mwanzo niliona uzushi basi nikawa nafanya kama utani naanza msema muuza duka wa mtaani kwamba inasemakana anatumia ulozi japo sina hata uhakika ukikaambia ivyo katauliza kweli huku kanavua nguo basi katakupa ubuyu kibao mpaka unajikuta bao tatu tayari...


kuja kutahamaki kila kakitaka mgegedo lazima katake umbea kwanza siku nikaona nikapge kibabe bila kusnitch watu hakakunipa ushirikiano hata ziwa ukinyonya gumu kama sanamu....


doooh nikaona ili tatizo nikakapga chini na mtaa nikahama sijui kaliishia wapi kale kamanz then nikapini balaa ila mashart YAKE sasa
Huyo mrahisi sana...unatakiwa unategea wakati muafaka wa kipindi cha SHILAWADU ndio unamwita...kakija hata hutajisumbua sana katafurahii...hlf unamgonga hata 10 mpk kipindi kiishe
 
Mie wa kwangu nilikuwa simuelewi nikienda kusleep kwake ghafla nikishituka usiku hayupo imeenda na kurudi nikajua mwanga...
Siku moja nikaekuwa kwake kwa uangalifu hakuwepo nakutana na bastola mwili ulikufa ganzi nikahisi ni jambazi na kujipa moyo...kwa vile nilikuwa nampenda wakati huo...

nitaendelea
 
Baba nitatimba mitaaa hio.
Ila huyu jamaa smart lazima apate kash kash la maana.
Manake huyu jombaa namnyaka sana toka ud .
Hawez kukamata mtoto mkali raisi rahisi tukamwachia kihivi.
Myoto ana tatoo moja matata sanaaaaa ipo sehem flam ambayo sio mubashara. Jombaaaa unadhani nitamwachia tu a walk away like this?
Ha ha ha .
Afu mtoto mwenyewe ananielew ujue sema tu anaruka ruka ili kumpoteza maboya jamaa
Cc: mahondaw
 
Da mi nilipata mpenzi, akajitambulisha kwa jina A. Tukazoeana hivyo. Siku naenda kwake nakuta kitambulisho chenye jina B. Da.. Nikapata mawazo kama nitatoka salama. Lakini Mungu ni mwema, alinitreat vizuri na nikaondoka salama. Sikumtafuta muda mrefu. Siku najaribu kumtafuta nimsalimie nikagundua alifariki kwa ajali mwaka umepita. He was a gentleman to me.
 
Baba nitatimba mitaaa hio.
Ila huyu jamaa smart lazima apate kash kash la maana.
Manake huyu jombaa namnyaka sana toka ud .
Hawez kukamata mtoto mkali raisi rahisi tukamwachia kihivi.
Myoto ana tatoo moja matata sanaaaaa ipo sehem flam ambayo sio mubashara. Jombaaaa unadhani nitamwachia tu a walk away like this?
Ha ha ha .
Afu mtoto mwenyewe ananielew ujue sema tu anaruka ruka ili kumpoteza maboya jamaa

Smart911 wangu anakuhusu nini wewe?!?

Mwanaume mwenzio huyo Wee mlegezee tu!
Kila sehemu smart smart smart smart
Yes he's smart in deed!

Cc Smart911
 
Jirani

tatoo ya '666' kiruuuu ntombakasia ode ode umefanya laputopu ikazima kwa mstuko.

khaaa kumbe kuna watu vipofu ila huyu smart naona ana chongo macho yote mawili aisehhhh

haki ya mama umenipa mstuko kama ningekuwa bomu ningeshaangamiza dunia.

mmmmhhhhhh ata siamini ngoja aje hapa atoke povu

Smart911 sweetlove yupo vizureeeeeeee
Thanks God for this Wonderful lucky man heheheee nampendajeeee
 
Smart911 wangu anakuhusu nini wewe?!?

Mwanaume mwenzio huyo Wee mlegezee tu!
Kila sehemu smart smart smart smart
Yes he's smart in deed!

Cc Smart911
mahondaw wangu... Usiumize kichwa to explain anything to anyone... Stay calm super dear... Lets focus on us, leave the world behind...

Wanacheza na akili yako uwe unachukia chukia kila mara...

Usisahau kuja, kama nitakuwa sijarudi bado u know what to do mahondaw wangu...
 
Back
Top Bottom