Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Fungua pm mdadaMazafanta wote wanaofanya ukahaba kwenye hii thread. Hiyo nyege za vidole kwenye keyboard pelekeni pm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua pm mdadaMazafanta wote wanaofanya ukahaba kwenye hii thread. Hiyo nyege za vidole kwenye keyboard pelekeni pm.
Muda wa kazi unatongoza tongoza tutakufukuza kazi sisiFungua pm mdada
Ni kama wale wengine ila hawa wamezidii lo kila mtu akiamua kuandika hapa mapenzi yake itakuwa shidaYani watu wanatirirka na story fresh tu majitu yanaleta uhindi wao.
Imekuwa kerooo!!!
MamboNi kama wale wengine ila hawa wamezidii lo kila mtu akiamua kuandika hapa mapenzi yake itakuwa shida
Dah!Muda wa kazi unatongoza tongoza tutakufukuza kazi sisi
Unawajua kumbe[emoji23][emoji23]?ubaya zaidi jamaa kaoa ana mke wake na demu nay ana jam yake.
Hapa wanatupandisha tu stim na chati zao.
Wewe unamsalimi gea ili iweje!? Unataka kumuongeza kwenye list?Mambo
Poa DabyMambo
Gihabib huyu ndugu yangu jobless usimkubalie hana cha kukupa bando lenyewe anagongeaDah!
Haya bwana ngoja nipige kazi.
Yani umenikata kweli we jamaa.
Ushaniharibia ngoja nimtokee geahabib
Unataka tuchafue uzi ee ,,,tupe stori banaDah!
Haya bwana ngoja nipige kazi.
Yani umenikata kweli we jamaa.
Ushaniharibia ngoja nimtokee geahabib
Acha bwana niishie kukusalimu tu maana hapa wanga wengi hawachelewiPoa Daby
Rudi kazini mtakatifu au nikuripoti!Wewe unamsalimi gea ili iweje!? Unataka kumuongeza kwenye list?
Yani ukijaribu tu nampa list ya watu wote humu ndani .. hadi wakenya wale tuone.
Kwa hio kama wanga wengi unataka kuhania wapi?Acha bwana niishie kukusalimu tu maana hapa wanga wengi hawachelewi
Usireport kuna mvua sa hivRudi kazini mtakatifu au nikuripoti!
Khaaa! Yani daby kweli unanianyia hivi?Gihabib huyu ndugu yangu jobless usimkubalie hana cha kukupa bando lenyewe anagongea
Mazungumzo yenye kuleta tija kawaida lazima yafanyike faragha sehemu tulivu yenye uoevuKwa hio kama wanga wengi unataka kuhania wapi?
Stori sitaki kuleta ss hivi kwa sababu daby ananiita mi mwongoUnataka tuchafue uzi ee ,,,tupe stori bana
Hivi upo wapi kwanza Dar, nairobi, Arusha, gongo la mboto manzese!Usireport kuna mvua sa hiv
Khaa gea usithubutu kabisa kumpa huyu mtu ushirikiano wenzako wote humu wanajuta.Mazungumzo yenye kuleta tija kawaida lazima yafanyike faragha sehemu tulivu yenye uoevu
Muulize InnaHivi upo wapi kwanza Dar, nairobi, Arusha, gongo la mboto manzese!