Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mie nilikutana na mpenzi mmoja ambae alikua akiniona tu anaanza kucheka tuu non-stop. mwanzo nilidhani "i was too funny", ila baadae nikaanza kuogopa isije kuwa na date na kichaa.
[emoji14][emoji14][emoji40][emoji40][emoji40] eeeeh kwa putin anafanyaje?Gihabib huyu ndugu yangu jobless usimkubalie hana cha kukupa bando lenyewe anagongea
Aaaa achana na daby kwanza ye hajaleta story hata moja humu alete kwanza yeye halaf ndio aseme we muongoStori sitaki kuleta ss hivi kwa sababu daby ananiita mi mwongo
Sawa nimekupataKhaa gea usithubutu kabisa kumpa huyu mtu ushirikiano wenzako wote humu wanajuta.
Cc all MMU ladies
Kwa Putin anakujua hata. Anatumia Google tu huyo yupo Tandale vipisa bar[emoji14][emoji14][emoji40][emoji40][emoji40] eeeeh kwa putin anafanyaje?
Mimi wifi yenu kashatoa yetu hapo sasa nikisimulia nitakuwa nairudiaAaaa achana na daby kwanza ye hajaleta story hata moja humu alete kwanza yeye halaf ndio aseme we muongo
Hahahahaha haya bana ngoja akuchongee kwa mademu wakoKwa Putin anakujua hata. Anatumia Google tu huyo yupo Tandale vipisa bar
Sina demu bwana mimi.. nina mkeHahahahaha haya bana ngoja akuchongee kwa mademu wako
Nani nikasomeeMimi wifi yenu kashatoa yetu hapo sasa nikisimulia nitakuwa nairudia
[emoji3][emoji3]Nani nikasomee
Sawa[emoji85][emoji85][emoji85] mpaka athibitishe Saint IvugaSina demu bwana mimi.. nina mke
Ila mbona sijaona stori yako weweSawa[emoji85][emoji85][emoji85] mpaka athibitishe Saint Ivuga
Mi sina stori nilibikiriwa na mme ,si unajua zamani walivyokuwa wakiolewaIla mbona sijaona stori yako wewe
Yaaaap wanakera waende pm kuharibu thread hatutakiAisee kama ulikuwa akilini mwangu! Yani mtu unatafuta coment ujisomee uchekee mara unakutana na vicoment uchwara vimejazana, si waandikiane inbox? Wanakera sana siyo siri!
Yani kwa mara ya kwaza hapa JF nimepata mshkaji wa nguvu ambaye ananitetea yani huyu nitamkubali sanaa na namkubali[emoji14][emoji14][emoji40][emoji40][emoji40] eeeeh kwa putin anafanyaje?
Yani huyu hana demu wala hana mke . Ni ana Mademuuuuuuu.Sawa[emoji85][emoji85][emoji85] mpaka athibitishe Saint Ivuga
Nani huyo daby?Yani kwa mara ya kwaza hapa JF nimepata mahkaji wa nguvu ambaye ananitete yani huyu nitamkubali sanaa na namkubali