Ni Msanii gani huwezi kuomba kupiga nae picha.

Sijui yule anasemaga nampa pampa
 
Nazungumzia wasanii wa hapa Tanzania, je ni msanii yupo hata mkutane porini mkiwa huwezi kutamani hata kupiga nae picha!?

Kwangu Mimi.

Rich Mavoko
Harmorapa
Harmonize
Dimpozi
Queen Darleen

Hata niwakute wako pekee yao siwezi kabisa kuphotoka nao
Kwani lazima kupiga nao picha. Mada za kitoto hizi
 
Leo Leo nimekutana na hiki kijamaa H Baba hapa kitaa Mwanza na sijashoboka nacho wala nini
 
Siwezi kupiga picha na maguful
NB: ni mmoja wa wasanii asie na mvuto
 
Reactions: Pep
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…