Ni Msanii gani huwezi kuomba kupiga nae picha.

Nazungumzia wasanii wa hapa Tanzania, je ni msanii yupo hata mkutane porini mkiwa huwezi kutamani hata kupiga nae picha!?

Kwangu Mimi.

Rich Mavoko
Harmorapa
Harmonize
Dimpozi
Queen Darleen

Hata niwakute wako pekee yao siwezi kabisa kuphotoka nao
hakuna mtu anayependwa na kila mtu. kwani hakuna aliekamilika
 
Kuliko nipigi picha na Ali kiba bora unitundulisu kwa lisasi..
 
zari aliamsha dude mlimani city. team mobeto wameza kutu (rust)
 
Mi siwezi kupiga picha na Rihanna tu, vile alivyo Mama Gaude akiona hiyo picha ataniua.
 
hawa wa nitarejea akutana na wachungaji wapiga dili kwa kutumia jina la Mungu, wamuabisha na kumdhalilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…