Ni Msanii gani huwezi kuomba kupiga nae picha.

Nazungumzia wasanii wa hapa Tanzania, je ni msanii yupo hata mkutane porini mkiwa huwezi kutamani hata kupiga nae picha!?

Kwangu Mimi.

Rich Mavoko
Harmorapa
Harmonize
Dimpozi
Queen Darleen

Hata niwakute wako pekee yao siwezi kabisa kuphotoka nao
kajala/wema sepetu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…