Ni Msanii gani huwezi kuomba kupiga nae picha.

Ni Msanii gani huwezi kuomba kupiga nae picha.

Nazungumzia wasanii wa hapa Tanzania, je ni msanii yupo hata mkutane porini mkiwa huwezi kutamani hata kupiga nae picha!?

Kwangu Mimi.

Rich Mavoko
Harmorapa
Harmonize
Dimpozi
Queen Darleen

Hata niwakute wako pekee yao siwezi kabisa kuphotoka nao
kajala/wema sepetu....
 
Back
Top Bottom