Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Habari zenu Wakuu, natumai mko poa bila kupoteza muda niende kwenye mada nikirejea uzi uliopostiwa na Member mmoja humu hapa juzi kati akionyesha clip ambayo inamuonesha msanii wa bongo kama sikosei ni aslay akiwa kajaza umati wa watu huko kenya,
huu uzi ulileta mjadala kiaina humu ndani wabongo wakidai kuwa wabongo wanakubalika sana kenya ila hakuna mkenya anaweza kutua bongo na kujaza umati kama huo.
Hivyo taja msanii au celebrity yeyote yule wa kenya ambae Unahisi akitua bongo lazima iwe ni shida Hasa kitaa kwa jinsi anavyokubalika.
Mi naanza na Khaligraph Jones dah huyu jamaa namuelewa kinoma na wabongo wengi wanamkubali huyu akitimba tena bongo ni shida kwani hata iwe sh ngapi hela yangu natoa nikamwone tu, wewe je??
huu uzi ulileta mjadala kiaina humu ndani wabongo wakidai kuwa wabongo wanakubalika sana kenya ila hakuna mkenya anaweza kutua bongo na kujaza umati kama huo.
Hivyo taja msanii au celebrity yeyote yule wa kenya ambae Unahisi akitua bongo lazima iwe ni shida Hasa kitaa kwa jinsi anavyokubalika.
Mi naanza na Khaligraph Jones dah huyu jamaa namuelewa kinoma na wabongo wengi wanamkubali huyu akitimba tena bongo ni shida kwani hata iwe sh ngapi hela yangu natoa nikamwone tu, wewe je??