Ni msanii gani wa Kenya anakubalika sana Tanzania?

Ni msanii gani wa Kenya anakubalika sana Tanzania?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]and here I thought bongolalas don't know any Kenyan. So there are others who EV. know Kenyan socialites. I know corazon kwamboka by name only. Najua vera na huddah pekee. My fav is vera sidika
Vera ni mwanamuziki?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]and here I thought bongolalas don't know any Kenyan. So there are others who EV. know Kenyan socialites. I know corazon kwamboka by name only. Najua vera na huddah pekee. My fav is vera sidika
Hahah eti bongolala we unazingua kweli ila sio kesi, Mbona tunawajua sana akina vera, huddah, Wote hao

#DG
 
Tatizo mfumo wenu wa ujamaa uliwadumaza kiasi kwamba huwa hamna uwezo wa kufurahia diversity, yaani mkielekeza pua kwa kitu kimoja, nyote mnamwagika humo. Unakuta mnao mtindo mmoja tu wa sanaa, na ili Mkenya atambulike huko lazima aimbe Kibongobongo ndio aeleweke.
Sisi huku tunafurahia kila aina ya mtindo, iwe Bongo au mitindo ya kwetu na ndio maana unaona wasanii wenu wakija wanakubalika, hatujafugwa kwenye zizi moja kama mbuzi.
Hakuna kitu hicho mkuu wabongo Tunapenda miziki ya aina yote, tatizo wakenya wengi mnaimba pumba afu miziki yenu haibambi labda michache sana

#DG
 
Tatizo mfumo wenu wa ujamaa uliwadumaza kiasi kwamba huwa hamna uwezo wa kufurahia diversity, yaani mkielekeza pua kwa kitu kimoja, nyote mnamwagika humo. Unakuta mnao mtindo mmoja tu wa sanaa, na ili Mkenya atambulike huko lazima aimbe Kibongobongo ndio aeleweke.
Sisi huku tunafurahia kila aina ya mtindo, iwe Bongo au mitindo ya kwetu na ndio maana unaona wasanii wenu wakija wanakubalika, hatujafugwa kwenye zizi moja kama mbuzi.
We Mzee ni kinara wa kuhamisha magori naona unatafuta likes smh!
Mmeona mmeshindwa kupenyeza mziki wenu tz unasingizia watanzania wamefungwa na ujamaa 'nonsense indeed' mbona wa Nigeria wakija wanafanya show Kali na wanajaza watu japo waswahili na kingereza ni maji na mafuta.
Vipi kuna nchi nyingine za Africa ambazo mziki wenu unakubalika vizuri? Najua hakuna hata Uganda mliopakana nao mmeshindwa kuwateka
 
Back
Top Bottom