crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
aliyeimba na r Kelly hajaimba na neyo, Omarion Wala Rick Ross so tatu kwa moja hapoLakini hajawahi kuimba na R Kelly
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aliyeimba na r Kelly hajaimba na neyo, Omarion Wala Rick Ross so tatu kwa moja hapoLakini hajawahi kuimba na R Kelly
Kweli k vant ni mbaya sana.😀Dudubaya akitulia yupo vizuri hata namna anavyo dance na body lake
Mmakonde kawaje tena , sema mwamba kwenye mangoma ya kubang yupo poa Sana , sema ushamba mwingi Sana , jamaa anaweza kunya hata road huyoMmakonde anazingua sana
Siku hizi kila kichupa anachotoa yupo mtumbo waziMmakonde kawaje tena , sema mwamba kwenye mangoma ya kubang yupo poa Sana , sema ushamba mwingi Sana , jamaa anaweza kunya hata road huyo
Mario haweziMarioo ila kama akipata menejimenti nzr
hANA jiPYA huYo kashapoTEAMmakonde anazingua sana
Mbaya sana aisee maana Dudu yake ni hiyo "Kujithaminisha, jifanye ghali sio wa rahisirahisi"Kweli k vant ni mbaya sana.😀