Halafu?Kiuna vi mesemo vinatumika mitahani, ofisini, vijiweni, sehemu ya kula/kunywa au unatumika chuoni
Kama kuna kimsemo kinacho vuma sehemu uliopo tuambie ni kipi na kina maana gani
Zangu mm ni hizi
1. Kula mkono - kupiga puli
2. Stoo - dirisha/chumba la kupokea ela
3. Guruneti - kalio (eg: umeona ilo guruneti "hapa kama sio mjuzi huwezi jua")
4. .....
Ongeza za kwako
msemo na maana yake