Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 739
- 1,888
Kiuna vi mesemo vinatumika mitahani, ofisini, vijiweni, sehemu ya kula/kunywa au unatumika chuoni
Kama kuna kimsemo kinacho vuma sehemu uliopo tuambie ni kipi na kina maana gani
Zangu mm ni hizi
1. Kula mkono - kupiga puli
2. Stoo - dirisha/chumba la kupokea ela
3. Guruneti - kalio (eg: umeona ilo guruneti "hapa kama sio mjuzi huwezi jua")
4. .....
Ongeza za kwako
msemo na maana yake
Kama kuna kimsemo kinacho vuma sehemu uliopo tuambie ni kipi na kina maana gani
Zangu mm ni hizi
1. Kula mkono - kupiga puli
2. Stoo - dirisha/chumba la kupokea ela
3. Guruneti - kalio (eg: umeona ilo guruneti "hapa kama sio mjuzi huwezi jua")
4. .....
Ongeza za kwako
msemo na maana yake