Ni Msemo gani Umebamba Sana Mitaani Mwaka Huu 2023

Ni Msemo gani Umebamba Sana Mitaani Mwaka Huu 2023

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Kumekuwa na misemo mingi sana iliyotamba na kushika umaarufu mitaani kwetu. Wanajamvi tukumbushane hapa misemo iliyojipatia umaarufu nchini katika mwaka huu wa 2023 ambao umebakiza siku chache utamatike.
 
Bado hujasema, "mama" anaupiga mwingi, chawa wa "mama" wanataka kumharibia "mama"
 
Kumekuwa na misemo mingi sana iliyotamba na kushika umaarufu mitaani kwetu. Wanajamvi tukumbushane hapa misemo iliyojipatia umaarufu nchini katika mwaka huu wa 2023 ambao umebakiza siku chache utamatike.
Hiii imeeenda,mpaaakaa wa seeeme,leondio leo,kivumbi na jasho
 
Kumekuwa na misemo mingi sana iliyotamba na kushika umaarufu mitaani kwetu. Wanajamvi tukumbushane hapa misemo iliyojipatia umaarufu nchini katika mwaka huu wa 2023 ambao umebakiza siku chache utamatike.
Ngapiii hukooo🤣
 
Back
Top Bottom