NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Robo robo kila msimu??Kwahyo hujui mafanikio ya simba
Shabiki maandazi wa mpira
wamepata dili la kwenda kuingizia sauti kwenye tamthilia ya Etuglu bay hawana lolote,subiri msimu uanze ndo utaamini maneno yanguNALIA NGWENA nimejiuliza swali Hilo baada ya kuona Simba sc kila msimu wanakimbilia nje ya nchi lakini ukija kuchunguza mafanikio ni zero (no improvement).
Siwezi kuwa mmoja wa mbumbumbu kupiga makofi/kusifia timu kwenda kufanya maandalizi nje ya chi wakati hakuna inachokipata zaidi ya fedheha tu.
Simba sc kwenda kufanya maandalizi nje ya nchi (uturuki ) ni matumizi mabaya ya fedha tu.
Au wanakwenda kufanyiwa surgery ya makalio[emoji16]wamepata dili la kwenda kuingizia sauti kwenye tamthilia ya Etuglu bay hawana lolote,subiri msimu uanze ndo utaamini maneno yangu
Hio robo kila msimu imepelekea Tanzania kushiriki timu 4 badala ya 2