NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
NALIA NGWENA nimejiuliza swali Hilo baada ya kuona Simba sc kila msimu wanakimbilia nje ya nchi lakini ukija kuchunguza mafanikio ni zero (no improvement).
Siwezi kuwa mmoja wa mbumbumbu kupiga makofi/kusifia timu kwenda kufanya maandalizi nje ya chi wakati hakuna inachokipata zaidi ya fedheha tu.
Simba sc kwenda kufanya maandalizi nje ya nchi (uturuki ) ni matumizi mabaya ya fedha tu.
Siwezi kuwa mmoja wa mbumbumbu kupiga makofi/kusifia timu kwenda kufanya maandalizi nje ya chi wakati hakuna inachokipata zaidi ya fedheha tu.
Simba sc kwenda kufanya maandalizi nje ya nchi (uturuki ) ni matumizi mabaya ya fedha tu.