Ni mstari gani wa Bongo Fleva unaweza kuelezea Mahusiano yako?

Ni mstari gani wa Bongo Fleva unaweza kuelezea Mahusiano yako?

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Habarini wakuu,

Kuna ule wimbo wa Rayvanny "Unaibiwa" yaani huu wimbo unarelate sana mambo ya mahusiano na kudate kwa sasa.

"Unadhani niwapeke ako
Kumbe wengine wameshaweka kambi
Kakupendea macho
Wapo wengine kawapendea rangi
'Ye ni gari la dampo
Hachagui taka dereva mpe ganji
Wakubadili sample
Akila mihogo karoti hazipandi
Unaibiwa, unaibiwa
Unaibiwa, unaibiwa"

Ukiambiwa uelezee ahali ya mahusiano yako kwa sasa ungetumia mstari wa wimbo gani wa Bongo Fleva?​
 
Myumbani kuba msichana,
jirani utaona wengi wasichana
Bora kuishia kutizama,
Kuliko kujifanya unaweza sana.

20%
 
"Kwanza unanipeti peti mapenzi ya tanga aaeeh
Kwenye bedi sichoki unavonikanda,
We ndo tanga na mi mlingoti
Nifunge na kanga aaeeh,
Nishtue kijoto usijeleta janga,
Naona baridi lanisaka
Nawe ndo koti koti,
Kwenye ligi yetu ooh tukikitana unanikochi kochii""💃

SIKINAI
 
" Sijazoea masebene mie yani ni bora uniache, kupenda kote bure kumbe mwenzangu mawenge"

"Amerudi analia....Huruma"
 
Save ur advice coz I won't hear
You might be right but I don't care
There's millions reasons why I should give you up
But the heart ❤ wants what it wants.....
 
Habarini wakuu,

Kuna ule wimbo wa Rayvanny "Unaibiwa" yaani huu wimbo unarelate sana mambo ya mahusiano na kudate kwa sasa.

"Unadhani niwapeke ako
Kumbe wengine wameshaweka kambi
Kakupendea macho
Wapo wengine kawapendea rangi
'Ye ni gari la dampo
Hachagui taka dereva mpe ganji
Wakubadili sample
Akila mihogo karoti hazipandi
Unaibiwa, unaibiwa
Unaibiwa, unaibiwa"

Ukiambiwa uelezee ahali ya mahusiano yako kwa sasa ungetumia mstari wa wimbo gani wa Bongo Fleva?​
Ishara Mpaka uzae Tyr ntakuwa nmejipanga
 
Mi napenda huu mstari usemao,
"Migogoro na migongano,
Ya kazini, ni ukosefu wa nidhamu.."
 
Back
Top Bottom