Ni mtandao gani wa simu wenye latecy ndogo?

Ni mtandao gani wa simu wenye latecy ndogo?

leoleo-tu

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2018
Posts
2,224
Reaction score
6,784
Natafuta mtandao wa simu wenye upload na download latecy ndogo.

Kwenye local server uwe 80 ms na portland OR server (Century Link) iwe chini ya 250ms.

Chief-Mkwawa
 
Natafuta mtandao wa simu wenye upload na download latecy ndogo.

Kwenye local server uwe 80 ms na portland OR server (Century Link) iwe chini ya 250ms.

Chief-Mkwawa
Vodacom ndio wana latency ndogo, hata Halotel kama upo eneo zuri unapata 4G yao full sio wabaya, mitandao yote ya 3G na 4G ina local ping chini ya 80ms mingi inacheza 20 mpaka 30ms local.

Pia kama una 5G wote Tigo, Voda na Airtel watakupa Latency nzuri.

Kwa UK hapo ndio muhimu pa kuangalia maana si tu local ping bali route inayotumika, unaweza kuta ili uwasiliane na UK waya unatoka TZ, unaenda South Africa, upitie South America, Usa hadi UK, wakati Isp mwengine anakatiza katikati Africa anatokea Morocco Ulaya hiyo.

Hii Tigo nime ping Century link, Latency zaidi ya 300ms
Screenshot_20230815-011315_1.png

Nikipata mda nitakuchekia isp wengine kwa hio server.

Pia kama unacheza game ama kufanya kitu serious stability pia muhimu
 
Vodacom ndio wana latency ndogo, hata Halotel kama upo eneo zuri unapata 4G yao full sio wabaya, mitandao yote ya 3G na 4G ina local ping chini ya 80ms mingi inacheza 20 mpaka 30ms local.

Pia kama una 5G wote Tigo, Voda na Airtel watakupa Latency nzuri.

Kwa UK hapo ndio muhimu pa kuangalia maana si tu local ping bali route inayotumika, unaweza kuta ili uwasiliane na UK waya unatoka TZ, unaenda South Africa, upitie South America, Usa hadi UK, wakati Isp mwengine anakatiza katikati Africa anatokea Morocco Ulaya hiyo.

Hii Tigo nime ping Century link, Latency zaidi ya 300ms
View attachment 2717626
Nikipata mda nitakuchekia isp wengine kwa hio server.

Pia kama unacheza game ama kufanya kitu serious stability pia muhimu
Fani za watu ziheshimiwe sana
 
Vodacom ndio wana latency ndogo, hata Halotel kama upo eneo zuri unapata 4G yao full sio wabaya, mitandao yote ya 3G na 4G ina local ping chini ya 80ms mingi inacheza 20 mpaka 30ms local.

Pia kama una 5G wote Tigo, Voda na Airtel watakupa Latency nzuri.

Kwa UK hapo ndio muhimu pa kuangalia maana si tu local ping bali route inayotumika, unaweza kuta ili uwasiliane na UK waya unatoka TZ, unaenda South Africa, upitie South America, Usa hadi UK, wakati Isp mwengine anakatiza katikati Africa anatokea Morocco Ulaya hiyo.

Hii Tigo nime ping Century link, Latency zaidi ya 300ms
View attachment 2717626
Nikipata mda nitakuchekia isp wengine kwa hio server.

Pia kama unacheza game ama kufanya kitu serious stability pia muhimu
Nmejaribu halotel na airtel hapa nilipo speed za download na upload ni zaidi ya 20mbs lakini ping ni zaidi ya 400 kwa local na portland airtel ni 600 halotwl kuna muda imefika hadi 1000
 
Back
Top Bottom