Ni mtanzania yupi maarufu zaidi?

Ni mtanzania yupi maarufu zaidi?

Tanzania hakuna super star zaidi ya Mzee Majuto! Kwasababu ndo anakubalika na kila mtu. Hao wakina Diamond sisi ambao sio washabiki wa ccm hatuwatambui
 
Swali kwenu wadau..

Ila kwa upande wangu, sioni kama kuna mtanzania maarufu zaidi kwa Tanzania, na nje ya Tanzania kumzidi DIAMOND PLATNUMZ

Na kuja kutokea mtu kama huyu itachukuwa vizazi na vizazi, kama ilivyo kwa umaarufu wa Michael Jackson duniani.
Mimi
 
Aliye leta huu uzi labda ange specify kama alivyojijibu mwenyewe! Labda angeuliza msanii yupi maarufu tanzania
 
Swali kwenu wadau..

Ila kwa upande wangu, sioni kama kuna mtanzania maarufu zaidi kwa Tanzania, na nje ya Tanzania kumzidi DIAMOND PLATNUMZ

Na kuja kutokea mtu kama huyu itachukuwa vizazi na vizazi, kama ilivyo kwa umaarufu wa Michael Jackson duniani.

inategemea na.industry ipi.unayoongelea kama ni.muziki.inawezekana

mfano kila mtu anafatilia interest yake.kwa uchumi Mo Dewj anajulikana
kwa mitindo kina millen Magese na Flavian
kwa siasa Jk atakua anajulikana.

kwahiyo akuna kipimo general cha mtu kufahamika nje au ndani ya nchi.
 
Mwl Nyerere hakuna wa kumfikia..... akifuatiwa kwa mbaaaali na mzee wa anga aka prof Dr Economist Luteni.
 
Aliye beba Hela za Escrow kwenye sandarusu bila kutajwa Na yeyote Huyo ndie MTU maarufu sana
 
Back
Top Bottom