Niliwahi kufyonza colgate usiku wa manane na asprin 3 bila maji ndio kwa mbaali nikamsikia mwana anajaribu kufufuka.. Maana alikuwa kalegea mlenda umesingiziwa..[emoji23]Panadol inapunguza maumivu ya njaa [emoji23]
Nikiwa chuo maisha ya pasi ndefu kuna siku nikasema liwalo na liwe na njaa zangu, baada ya hapo kila kitu kililegea, njaa haina mbabe.
Bora alipata huyo anayepika anamshibisha, we ungeua mtoto wa watu.Nimuoe ili iweje ? Wakati alipata boya anaepika akanikimbia
Njaa ni hatari sana hasa ukiwa huna kitu mfukoni, nilichojifunza ukiwa na njaa acha tu utelezi ukupite unaeza kukata moto kizembe sana.Niliwahi kufyonza colgate usiku wa manane na asprin 3 bila maji ndio kwa mbaali nikamsikia mwana anajaribu kufufuka.. Maana alikuwa kalegea mlenda umesingiziwa..[emoji23]
Ukisikia adui mwombee njaa....!!! Njaa haina mtemi
Sent using Jamii Forums mobile app
😂 na ningeua kweli maana baada ya tukio alikua analala usingizi wa kifo.Bora alipata huyo anayepika anamshibisha, we ungeua mtoto wa watu.
Afadhali kakukimbia
Ingiza Ant virus mpyaDemu wangu ni mlokole Jana
Amenambia hatuwezi ku-sex tena hadi tutakapofunga ndoa.
Na ukumbuke mwanzo tuki nyanduana fresh tu.
Nikirelate na hardlife nalopitia now, misoto Mimi sina hela kabsa, nafight job sijapata
Nahisi kama huu ni mtego duhh..
Embu nishaurini
Kwani mnaelewaga hilo nyie.Njaa ni hatari sana hasa ukiwa huna kitu mfukoni, nilichojifunza ukiwa na njaa acha tu utelezi ukupite unaeza kukata moto kizembe sana.
Badala ya kulilia mchongo analilia mwanamke, mwanamke ni kama gari na pesa ndio mafuta hivi bila mafuta hilo gari litatembeaje? Usikute hata hapo ajalaWatu wana majaribu sana
😂 mimi hapana acha nikose tu sitakiKwani mnaelewaga hilo nyie.
Kichwa cha chini kikishapata moto hamsikii la mwadhini wala la mnadi swala msikitini
Mwambieni aponeBadala ya kulilia mchongo analilia mwanamke, mwanamke ni kama gari na pesa ndio mafuta hivi bila mafuta hilo gari litatembeaje? Usikute hata hapo ajala
Ukiwa na njaa upwiru weka pembeni maana kuumbuka ni fasta na ukifosi unatafuta kifo cha lazimaNjaa ni hatari sana hasa ukiwa huna kitu mfukoni, nilichojifunza ukiwa na njaa acha tu utelezi ukupite unaeza kukata moto kizembe sana.
sawa mkuu haitojirudia tenaUkiwa na njaa upwiru weka pembeni maana kuumbuka ni fasta na ukifosi unatafuta kifo cha lazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah..mkuu bila hela nikujidanganya tu nakumbuka mwanzo wa mwaka huu nlipigika sana nawaza kodi halafu nipo kwenye kikazi cha kishenz japo ofisi ni kali ila maokoto ya kipuuzi bac kuna madem wakawa wanajiongelesha hivi huyu kaka ni bikra mbona hana shobo na madem halafu ni mpole sema hawa wa hivi unakuta ni mafundi halafu wamebeba mitarimbo ya maana sana nyie waoneni hivo hivo, yani niligeuka nikawaangalia mara moja tu nikaendelea na kazi zangu japo niwazuri ila niliona kama wananipigia kelele tu niliondoka hapo nikiwa naitwa mkaka bikrawatakuambia mwanaume kujiamini
Ukiwapa attention ndio unazidi kuifanya hali yako kuwa mbaya kabisa, kujiamini ni sahihi ila kama huna hela ni bure utaishia kujidhalilisha tu.Daah..mkuu bila hela nikujidanganya tu nakumbuka mwanzo wa mwaka huu nlipigika sana nawaza kodi halafu nipo kwenye kikazi cha kishenz japo ofisi ni kali ila maokoto ya kipuuzi bac kuna madem wakawa wanajiongelesha hivi huyu kaka ni bikra mbona hana shobo na madem halafu ni mpole sema hawa wa hivi unakuta ni mafundi halafu wamebeba mitarimbo ya maana sana nyie waoneni hivo hivo, yani niligeuka nikawaangalia mara moja tu nikaendelea na kazi zangu japo niwazuri ila niliona kama wananipigia kelele tu
Nakwambia, mtu ana matatizo mawili, ila moja kama halioni vile !We binti 😂