Ni mtoto gani wa msanii anafahamika sana

Ngurubhe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
1,840
Reaction score
1,049
Guys mniwie radhi kama ntawaboa,lakini nimeona nijue hili.kwani hakunaga dogi fj!!.Tumeona hapa mbongo kuna watu hata ukiskia saut yake tu,au kuona picha yake unamtambua hata kama hukuwahi kumuona live!.

Hapa bongo unadhan ni mtoto gani mdogo anaefahamika sana hata ukiiona tu picha yake unamtambua kuwa huyu ni fuln ama mtoto wa fuln.asiwe zaid ya miaka miwili.
 
Mm sizani kama kuna zaidi ya Le akili kubwa aka Le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…