Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wasalaam.
Ndugu zangu wadanganyika hakika sisi ni wadanganyika na tumekua tukidanganyika tangu kuanzishwa kwa vyama vingi vya siasa mwaka 1992. Hapo nyuma kulikua na chombo cha kusimamia uchaguzi kilichoitwa tume ya uchaguzi Tanzania ambapo viongozi wake wote walichaguliwa na mwenyekiti WA CCM na hivyo kuwajibika kwa mwenyekiti huyo Moja Kwa moja.
Mwaka jana hawa CCM chini ya mwenyekiti wao wakaja na kuongeza neno huru kwenye tume ile ile ya uchanguzi ambapo kuanzia mwenyekiti WA tume hyo ya uchaguzi isiyo huru mpaka wasimamazi ni wale wale waliochaguliwa na mwenyekiti WA CCM na wanawajibika kwake.
Tafakari yangu ni kwamba hapa tumepigwa hakuna tume huru ya uchaguzi bali kuna tume ya uchaguzi ya ccm ambapo wasimamizi wa uchaguzi Ni makada watiifu WA ccm na Si watu huru wa kutenda haki na kusimamia chaguzi. Ajabu ni kwamba hata wanaopita leo kuandikisha wapiga kura wapya Ni makada watiifu wa ccm waliovaa koti la tume huru ya uchaguzi huku wadanganyika wakiendelea kudanganyika kwamba kutakua na uchaguzi huru chini ya tume huru ya uchaguzi ya ccm.
Pia soma:Wajumbe wa Tume Huru kuteuliwa na Mgombea Urais uhuru wa tume upo wapi?
Ndugu zangu wadanganyika hakika sisi ni wadanganyika na tumekua tukidanganyika tangu kuanzishwa kwa vyama vingi vya siasa mwaka 1992. Hapo nyuma kulikua na chombo cha kusimamia uchaguzi kilichoitwa tume ya uchaguzi Tanzania ambapo viongozi wake wote walichaguliwa na mwenyekiti WA CCM na hivyo kuwajibika kwa mwenyekiti huyo Moja Kwa moja.
Mwaka jana hawa CCM chini ya mwenyekiti wao wakaja na kuongeza neno huru kwenye tume ile ile ya uchanguzi ambapo kuanzia mwenyekiti WA tume hyo ya uchaguzi isiyo huru mpaka wasimamazi ni wale wale waliochaguliwa na mwenyekiti WA CCM na wanawajibika kwake.
Tafakari yangu ni kwamba hapa tumepigwa hakuna tume huru ya uchaguzi bali kuna tume ya uchaguzi ya ccm ambapo wasimamizi wa uchaguzi Ni makada watiifu WA ccm na Si watu huru wa kutenda haki na kusimamia chaguzi. Ajabu ni kwamba hata wanaopita leo kuandikisha wapiga kura wapya Ni makada watiifu wa ccm waliovaa koti la tume huru ya uchaguzi huku wadanganyika wakiendelea kudanganyika kwamba kutakua na uchaguzi huru chini ya tume huru ya uchaguzi ya ccm.
Pia soma:Wajumbe wa Tume Huru kuteuliwa na Mgombea Urais uhuru wa tume upo wapi?