Ni muda mrefu....

Ni muda mrefu....

Shostito

Member
Joined
May 25, 2010
Posts
41
Reaction score
11
Hi guys.

Mimi sio mgeni humu isipokuwa sikupata nafasi ya kucoment humu kwa zaidi ya miaka mitano sasa.

Sasa nimerudi rasmi.

Nimewamis JF members wahenga wenzangu. Akina Preta, Maria Roza na wengine.

Siku hizi JF imebadilika sana tofauti na enzi zetu. Lakini kitu kizuri ni kwamba bado JF ndio kimbilio la wengi katika kupata facts mbalimbali.

Tafadhali naomba mnikaribishe tena. Nimerudi kundini.

Asante.
 
Hi guys.

Mimi sio mgeni humu isipokuwa sikupata nafasi ya kucoment humu kwa zaidi ya miaka mitano sasa.

Sasa nimerudi rasmi.

Nimewamis JF members wahenga wenzangu. Akina Preta, Maria Roza na wengine.

Siku hizi JF imebadilika sana tofauti na enzi zetu. Lakini kitu kizuri ni kwamba bado JF ndio kimbilio la wengi katika kupata facts mbalimbali.

Tafadhali naomba mnikaribishe tena. Nimerudi kundini.

Asante.
Karibu tena kilingeni bibie Shostito
 
Hi guys.

Mimi sio mgeni humu isipokuwa sikupata nafasi ya kucoment humu kwa zaidi ya miaka mitano sasa.

Sasa nimerudi rasmi.

Nimewamis JF members wahenga wenzangu. Akina Preta, Maria Roza na wengine.

Siku hizi JF imebadilika sana tofauti na enzi zetu. Lakini kitu kizuri ni kwamba bado JF ndio kimbilio la wengi katika kupata facts mbalimbali.

Tafadhali naomba mnikaribishe tena. Nimerudi kundini.

Asante.
Sawa muhenga weye, karibu.
 
Back
Top Bottom