Ni muda muafaka, Jeshi la Polisi lipeleke huduma za 'forensic' mikoani

Ni muda muafaka, Jeshi la Polisi lipeleke huduma za 'forensic' mikoani

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kuna wimbi kubwa sana la kughushi nyaraka.

Mikoa kama Morogoro, Dar es salaam na kwingine imekithiri, cha kushangaza. Huduma ya wataalamu wa forensic, kama uchunguzi wa miandiko Jeshi la Polisi limewaweka Dar es Salaam tu.

Kama nyaraka imeghushiwa Tarime, Tandahimba, Kilimanjaro, Kagera, Dodoma, lazima ipelekwe Dar es salaam. Yaani nchi nzima inapeleka nyaraka Dar.

Hii si sawa kwa wakati huu serikali inaposogeza huduma karibu na wananchi.

Mashauri mengi yanakwama mahakamani kwa kusubiri mtaalamu aje atoe ushahidi, na mtaalamu anazidiwa, anazurura nchi nzima.
 
Kuna wimbi kubwa sana la kughushi nyaraka.

Mikoa kama Morogoro, Dar es salaam na kwingine imekithiri, Cha kushangaza. Huduma ya wataalamu wa forensic, kama uchunguzi wa miandiko Jeshi la Polisi limewaweka Dar es salaam tu.

Kama nyaraka imeghushiwa Tarime, Tandahimba, Kilimanjaro, Kagera, Dodoma, lazima ipelekwe Dar es salaam. Yaani nchi nzima inapeleka nyaraka Dar.

Hii si sawa kwa wakati huu serikali inaposogeza huduma karibu na wananchi.

Mashauri mengi yanakwama mahakamani kwa kusubiri mtaalamu aje atoe ushahidi, na mtaalamu anazidiwa, anazurura nchi nzima.
Wenzio ndio njia ya kutengeneza vipato,wakiitawanya huduma wengine wafwaa njaaa🤔
 
Back
Top Bottom