Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nimewaza tu kwamba tunahitaji kuwa na mawazo mbadala ya bunge lililopo sasa,
Hata hivyo kwakua nchi nzima hatuna mikoa zaidi ya 35 bajeti yake nayo haitakua kubwa kwani maseneta hawatazidi idadi ya mikoa.
Kungekuwa na mifumo ya haki ya kuwapata hapo sawa, ila utashangaa yale yale majizi ya kura toka ccm ndio yanakwenda kuwa kwenye hiyo senate.