Ni muda muafaka sasa wa kukutanishwa na ndugu zetu

Ni muda muafaka sasa wa kukutanishwa na ndugu zetu

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
34,181
Reaction score
41,563
Wakuu,

Nimetafakari sana nimeona ni muda muafaka sasa wa kukutanishwa na ndugu zetu walioko mataifa mbalimbali hasa Amerika walitoka Africa wakati wa biashara ya watumwa. Kwa sasa technologia na human genetics ni kubwa mno tunaomba mataifa yaanze utaratibu wa kutukutanishwa - Kwa mfano wamarekani weusi wengi sana kiini chao ni Africa.

Nina imani human genetics huwa haipotei kwa vizazi kadhaa hivyo unaweza kujikuta wewe unayesoma bandiko hili una ukoo na Beyonce, Paf Dad, Tyson, Magic Johnson na mastaa wengi wa Marekani, kwa sababu mababu zao walitoka Africa katika karne ya 15 na 18.

Watumwa wengi sana walikwenda Amerika kama unavyoona kwenye mchoro hapa chini.

1624346702859.png

1624346987727.png
 
Hao jamaa kila mwaka wanarudi Africa, wana programe yao inaitwa "Back to Africa Movement"
Wanakuja kama kutalii tu - tunataka twende extra miles ili tukutanishwe kama ndugu wa damu... ndugu wa chimbuko moja - huko waliko si kwao na ndiyo maana wananyanyaswa - nyumbani ni nyumbani tu.
 
Mtumai cha ndugu ana hatari ya kufa akiwa bado ni masikini
 
wanakuja kama kutalii tu - tunataka twende extra miles ili tukutanishwe kama ndugu wa damu..ndugu wa chimbuko moja - huko waliko si kwao na ndiyo maana wananyanyaswa - nyumbani ni nyumbani tu.
Cheif hawaji kutalii, wanakuja kuishi Africa. Kwa Arusha wanaishi maeneo ya maji ya Chai. Nairobi pia wapo.
 
Back
Top Bottom