Ni muda sasa Simba iachane na kucheza gemu za jihadi na kucheza professional game

Noti bandia

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2020
Posts
2,684
Reaction score
4,315
Nimejaribu kuangalia gemu nyingi Sana Simba alizocheza ugenini hususani na timu za kaskazini. Kama wangewekeza kwenye professional game huenda wangevuka hatua zaidi hata kufika nusu au fainal kabisa
 
Hongereni kwa ushindi wa leo........
Kwakweli nathubutu kujipongeza japo naunganisha doti tunafeli wapi? Ndio nagundua Hizo gemu hizi mbili za mwisho kulikuwa na uwezekano wa kuchukua point tatu kati ya Galaxy au wydad
 
hahaa dah kazi kweli,.....

Quality ya wachezaji wa kaskazini sio kama unavyofikiria ........
Mpaka Leo timu zinafungwa Moja au draw tumetoka mbali sana sio rahisi hivyo.
Ahsante
 
Naunga mkono hoja, Simba mashindano ya CCL huwa anacheza JIHAD na sio soka safi lenye kueleweka.
 
Kwakweli nathubutu kujipongeza japo naunganisha doti tunafeli wapi? Ndio nagundua Hizo gemu hizi mbili za mwisho kulikuwa na uwezekano wa kuchukua point tatu kati ya Galaxy au wydad
.......... Halafu ikaweje..!!!😛😛
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…