Sina budi kumuomba msamaha mkali wa rhymes Afande sele kwa kitendo changu cha kumuona snitch alipokubali kuimba kwenye show ya straight music kumbe kweli alifata masirahi, na ndio ambacho hata wenzake walichokua wanataka, so hata wana jf wengine mlio mshtumu mfalme wa rhymes ombeni samahan kama mm SAMAHANI AFANDE SELE