Pre GE2025 Ni muhimu sana mzee Wilbroad Peter Slaa awekwe korokoroni hadi baada ya uchaguzi wa CHADEMA taifa kumalizika

Pre GE2025 Ni muhimu sana mzee Wilbroad Peter Slaa awekwe korokoroni hadi baada ya uchaguzi wa CHADEMA taifa kumalizika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Tabia yake ya kuzusha na kuongopa mambo mbalimbali dhidi ya serikali sikivu ya CCM, dhidi ya viongozi wa CHADEMA Taifa na dhidi viongozi mbalimbali wa umma, wa vyama vya siasa n watu binafsi kupitia mitandao ya kijamii.

Kwanza ni hatari kwa usalama wake mwenyewe, lakini pia sio ustaarabu bali ni kukosa uzalendo, hekima na busara, lakini pia ni kukosa adabu kwa Taifa. Hana athari zozote kisiasa nchini kwasasa, lakini ni vyema akaachiwa huru baada ya uchaguzi wa chadema Taifa kumalizika, na itapendeza zaidi.

Infact,
Tamaa, ubinafsi na laana ya usaliti wa kidini, kifamilia na kisiasa vinamzeesha na kumfanya awe na tabia za kinafiki lakini pia anakua ana deka na kuact kama mtoto mdogo, kumbe ni mbabu mtu mzima

Ni muhimu akahifadhiwa ndani kwa kipindi kirefu, ili ajirekebishe na kurekebishwa parole na ili iwe fundisho kwa wazee wengine wenye tabia kama hizo na waliopoteza uelekeo wa kisiasa kama huyo mzee.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
 
Tabia yake ya kuzusha na kuongopa mambo mbalimbali dhidi ya serikali sikivu ya ccm, dhidi ya viongozi wa chadema Taifa na dhidi viongozi mbalimbali wa umma, wa vyama vya siasa n watu binafsi kupitia mitandao ya kijamii.

Kwanza ni hatari kwa usalama wake mwenyewe, lakini pia sio ustaarabu bali ni kukosa uzalendo, hekima na busara, lakini pia ni kukosa adabu kwa Taifa. Hana athari zozote kisiasa nchini kwa, lakini ni vyema akaachiwa huru baada ya uchaguzi wa chadema Taifa kumalizika, na itapendeza zaidi.

Infact,
Tamaa, ubinafsi na laana ya usaliti wa kidini, kifamilia na kisiasa vinamzeesha na kumfanya awe na tabia za kinafiki lakini pia anakua ana deka na kuact kama mtoto mdogo, kumbe ni mbabu mtu mzima

Ni muhimu akahifadhiwa ndani kwa kipindi kirefu, ili ajirekebishe na kurekebishwa parole na ili iwe fundisho kwa wazee wengine wenye tabia kama hizo na waliopoteza uelekeo wa kisiasa kama huyo mzee.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Hofu,hofu unahofu sana na Tundu Lissu!
 
All in all lissu ashinde tu uchaguzi zije zama mpya za chadema, hali kadhalika muelekeo mpya wa siasa za nchi
binafsi kama mtaalamu wa siasa,
nisingependa kuingilia uhuru na haki za wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema kuamua kuamua mustakabali wa chadema ijayo,

ni muhimu zaidi kujikita kwenye hoja mahususi mezani gentleman 🐒
 
Silaa ana stress;
  1. Ukatibu Mkuu CHADEMA ❌
  2. Ubalozi wa Magufuli ❌
  3. Josephine ❌
  4. Pension ❌
Sasa ni mwendo wa kutapatapa tu kwamba Eti ana connection na Usalama wa Taifa, kimfuatilia Samia🤣🤣
 
Silaa ana stress;
  1. Ukatibu Mkuu CHADEMA ❌
  2. Ubalozi wa Magufuli ❌
  3. Josephine ❌
  4. Pension ❌
Sasa ni mwendo wa kutapatapa tu kwamba Eti ana connection na Usalama wa Taifa, kimfuatilia Samia🤣🤣
huyu mzee ni muongo kichizi dah!

halafu kadiri anavyozidi kuzeeka anakua mzushi na mwenye stress zaidi 🐒
 
binafsi kama mtaalamu wa siasa,
nisingependa kuingilia uhuru na haki za wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema kuamua kuamua mustakabali wa chadema ijayo,

ni muhimu zaidi kujikita kwenye hoja mahususi mezani gentleman 🐒
Hizo ndio hofu yeye na CDM,mtu mmoja afanye uchaguzi uwe na mawenge,hizi ndizo hofu zako tlaahtlaah na Mwashambwa wako.Kumlaza mtu korokoroni kwa hofu ya uchaguzi!
 
Kama unamuona Dr Slaa ni mwepesi kwa nini utake afungwe mpaka uchaguzi uishe,pia kama unajiamini vuta fomu ya ubunge Jimbo la Karatu uangushwe chini hadi kuzimu
 
Simkubali Slaa lakini kwenye hili kaonewa sana
Gentleman,
huyu ni mzushi na mnafiki mno, pole kwa vile uko nae mbali,

asoteshwe rumande vya kutosha ili awe na adabu, kwasababu anawazushia na kuwasingizia watumishi wa idara nyeti za nchi kwamba anawasiliana nao kuhusu mambo mbalimbali ya nchi kitu ambacho si kweli,

anawaharibia na kuwachonganisha watu maofisini kwako, huoni hiyo kama ni hatari kwa maisha yake?🐒
 
Kweli nimeamini huyu Tundu Lissu ni mwiba kwa CCM na wapambe wake!
ni muhimu sana,
idara za kiusalama kuzingatia zaidi usalama wa hiyo mzee kwasababu aliowazushia mambo mbalimbali huenda wana hasira nae sana,

awekwe korokoroni kwa muda mrefu kidogo mpaka itakapothibitika kwamba sasa anaweza kua salama 🐒
 
Kama unamuona Dr Slaa ni mwepesi kwa nini utake afungwe mpaka uchaguzi uishe,pia kama unajiamini vuta fomu ya ubunge Jimbo la Karatu uangushwe chini hadi kuzimu
ni muhimu sana usalama wake ukazingatiwa kwasababu aina ya uzushi na uongo anaousambaza kwenye mitandao ya kijamii, unaudhi na kuwaumiza watu, kazi na biashara zao.

hilo huwezi elewa gentleman kwasababu ya uelewa na ufahamu kidogo wa mambo haya.

awekwe korokoroni kwa muda mrefu kidogo 🐒
 
Hizo ndio hofu yeye na CDM,mtu mmoja afanye uchaguzi uwe na mawenge,hizi ndizo hofu zako tlaahtlaah na Mwashambwa wako.Kumlaza mtu korokoroni kwa hofu ya uchaguzi!
uzushi na uongo anaousambaza huyo mzee mnafiki ni hatari sana kwa usalama wake,

so,
ni muhimu akawekwa korokoroni kwa muda mrefu zaidi mpaka ikithibitika kwamba hali ya usalama wake itakua iko shwari 🐒
 
Tabia yake ya kuzusha na kuongopa mambo mbalimbali dhidi ya serikali sikivu ya ccm, dhidi ya viongozi wa chadema Taifa na dhidi viongozi mbalimbali wa umma, wa vyama vya siasa n watu binafsi kupitia mitandao ya kijamii.

Kwanza ni hatari kwa usalama wake mwenyewe, lakini pia sio ustaarabu bali ni kukosa uzalendo, hekima na busara, lakini pia ni kukosa adabu kwa Taifa. Hana athari zozote kisiasa nchini kwa, lakini ni vyema akaachiwa huru baada ya uchaguzi wa chadema Taifa kumalizika, na itapendeza zaidi.

Infact,
Tamaa, ubinafsi na laana ya usaliti wa kidini, kifamilia na kisiasa vinamzeesha na kumfanya awe na tabia za kinafiki lakini pia anakua ana deka na kuact kama mtoto mdogo, kumbe ni mbabu mtu mzima

Ni muhimu akahifadhiwa ndani kwa kipindi kirefu, ili ajirekebishe na kurekebishwa parole na ili iwe fundisho kwa wazee wengine wenye tabia kama hizo na waliopoteza uelekeo wa kisiasa kama huyo mzee.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
kumbe ndo mipango ya ccm
 
Back
Top Bottom