alidokoa pesa za kanisa wakati wa ujio wa baba Mtakatifu wakati huo John Paul wa Pili,
alikua na tamaa za kimwili kupindukia, alipita na wake za watu mno,
ikalazimika aozwshwe mwanamke ambae alimuoa halafu baadae akamtema, na kisha kumpora mwanaume mwingine mke wake ambae ndio huyo alie nae sasa hivi.
kwenye siasa,
aliisaliti ccm akaenda chadema, akaisaliti chadema na kurudi CCM, sasa hivi baada ya kufukuzwa CCM, yupo ana tangatanga, kuropoka na kuzusha mambo mbalimbali ambayo kati ya hayo ndiyo yamemfamya atiwe nguvuni Leo,
kiufupi ni mtu mwenye tamaa ya mali, vyeo na wanawake, ni msaliti na mbinafsi mno kisasa, kijamii na kiuchumi, hakuna ambacho unaweza kujifunza kutoka kwake 🐒